Elections 2010 Lewis makake anataka kuhadaa mawakala?

Elections 2010 Lewis makake anataka kuhadaa mawakala?

MWANA WA UFALME

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2010
Posts
578
Reaction score
144
kitendo cha jaji lewis makame jana kutangaza kwenye mkutano wa wadau wa uchaguzi kule arusha kuwa hata wakala asipotia saini form za uchaguzi hakutabadili lolote kinanitia shaka.

Najiuliza kuna umuhimu gani wa tume kutoa form za kusaini kama hata usipotia saini haina shida.

Hatari iliyopo ni kuwa hata wakileta kura za wizi na wakala akaziona akakataa kutia saini then haitakuwa na shida kumpitisha mgombea ambaye hakushinda,

nachelea kusema kwamba huyu bwana naye ni kibaraka na anataka kuwaandaa mawakala wakubaliane na chochote maana hata wasipokubali haibadili kitu.
 
kitendo cha jaji lewis makame jana kutangaza kwenye mkutano wa wadau wa uchaguzi kule arusha kuwa hata wakala asipotia saini form za uchaguzi hakutabadili lolote kinanitia shaka.

We need the Almighty God's guidance on this fracas since some leaders now perceive themselves to be the ONe, the Most High
 
Back
Top Bottom