LG kusitisha uzalishaji wa simu Janja

LG kusitisha uzalishaji wa simu Janja

Last Seen

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
229
Reaction score
566
Kampuni ya teknolojia ya LG imetangaza jana Jumatatu itasitisha uzalishaji wa simu janja. Kampuni hiyo kubwa ya teknolojia imetangaza kuwa imekuwa ukipata hasara kwa kipindi Cha Muda mrefu inayokaribia $ 4.5bn.W

Wakuu wa kampuni wametoa sababu mojawapo ya Hasara kuwa ni soko la simu janja limekuwa na ushindani zaidi na wanajitoa ili ku-focus na Teknolojia ya "Artificial intelligence na teknolojia ya Roboti na vipuri vya magari ya umeme.

Mwaka wa 2020 iliuza simu janja milioni 28 kulinganisha na wapinzani wao Samsung waliouza simu janja million 256.

Licha biashara ya simu janja
kutofanikiwa kwa upande wao, LG imebakia kuwa kampuni ya pili kwa uuzaji wa TV ikiwa nyuma ya Samsung.
Mpinzani wake mkuu

Samsung na Kampuni Kubwa za ki-china OPPO, XIAOMI ni kampuni zinazotajwa kunufaika zaidi endapo LG itafunga uzalishaji wake wa Smartphone mwezi July.

Kitengo Cha uzalishaji wa simu, ni kitengo kidogo zaidi katika vitengo vyote vilivyopo katika kampuni ya LG.
 
Duh sema ni uamuzi mzuri bora hiyo nguvu iende kwenye Segment wanavyofanya vizuri in market considering LG was very terrible in naming their phones and didn’t have any special features to brag about from their phones.
I mean they were neither bad nor good at making phones, they were just “okay” and that’s not good enough in business and nmekumbuka kuhusu price dropping ya Lg is insane wanaweza Launch a phone kwa 500$ then two months later simu inauzwa 200$ like wtf
 
Kazi waliiweza kwenye tv, ajabu kwenye simu wakawaacha huwaei waje kuleta upinzani vilivyo.
 
Kampuni ya teknolojia ya LG imetangaza jana jumatatu itasitisha uzalishaji wa simu janja.Kampuni hiyo kubwa ya teknolojia imetangaza kuwa imekuwa ukipata hasara kwa kipindi Cha Muda mrefu inayokaribia $ 4.5bn.W

Wakuu wa kampuni wametoa sababu mojawapo ya Hasara kuwa ni soko la simu janja limekuwa na ushindani zaidi na wanajitoa ili ku-focus na Teknolojia ya "Artificial intelligence na teknolojia ya Roboti na vipuri vya magari ya umeme.

Mwaka wa 2020 iliuza simu janja million 28 kulinganisha na wapinzani wao Samsung waliouza simu janja million 256.

Licha biashara ya simu janja
kutofanikiwa kwa upande wao,LG imebakia kuwa kampuni ya pili kwa uuzaji wa TV ikiwa nyuma ya Samsung.
Mpinzani wake mkuu

Samsung na Kampuni Kubwa za ki-china OPPO, XIAOMI ni kampuni zinazotajwa kunufaika zaidi endapo LG itafunga uzalishaji wake wa Smartphone mwezi July.

Kitengo Cha uzalishaji wa simu, ni kitengo kidogo zaidi katika vitengo vyote vilivyopo katika kampuni ya LG.
Ngoja wabaki kwenye hiyo technology ili washindane na rafiki yao mkubwa Japan.


Sent from my cupboard using mug
 
Hawapendani hata kidogo mkuu, Japan anasaidia tu kwa shinikizo. Kila siku Wana migogoro hao.

Japan anawaboost kitech Korea Sababu tu allies kama US wanawasihi,


Kuna poll hapo kwenye link 79% ya wa South Korea hawaipendi Japan.
Aisee hawa jamaa wa Japani nilikuwaga najua ni uadui na North korea, kumbe hata South K. ni yaleyale[emoji848]


Sent from my cupboard using mug
 
Back
Top Bottom