LHRC: katiba mpya inahitajika, RICHMOND, Riporti ya LUGUMI na ESCROW zirudishwe tena bungeni

LHRC: katiba mpya inahitajika, RICHMOND, Riporti ya LUGUMI na ESCROW zirudishwe tena bungeni

Evans-Arsenal

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2016
Posts
868
Reaction score
1,385
Kituo cha sheria na haki za binadamu kimesema kwamba kinalidhishwa na utendaji kazi wa Rais Magufuli na kumpongeza jwa kazi yake nzuri.

Pia wamempongeza Rais kwa ishu ya makinikia na kutaka siasa isiingingwe katika majadiliano na Acacia.
Wamekumbushia riporti ya LUGUMI kupelekwa tena bungeni na kutolewa ripoti upya ili watuhumiwa wafikishwe mahakamani.

Kuhusu katiba mpya wameeleza kumtaka Rais kupatikana na katiba mpya itakayoleta usawa na demokrasia nchini kwa wananchi na vyama vyote vya siasa


Soma
 
Waseme na mikataba ya ndege,ujenzi wa Chato Airport,Reli ya Kisasa,n.k, nayo ilpelekwe Bungeni pamoja na kuondoa kinga ya Raisi,. wanakuja na hayo tu-Wasomi wa nchi hii ni shida.
 
Lugumi atailinda kama anavyomlinda bashite.
 
Badala ya kutaka kinga ya Raisi iondolewe,wanakuja na haya maigizo-Wasomi wa nchi hii ni bure kabisa.​
Wasomi wameshindwa kulitamka hilo kwa sababu watadhaniwa kuwa wako upande wa TAL ambaye amelisemea sana jambo hilo. They trying to maintain 'political correctness' in their statements lakini wanajua vizuri kuwa kuna umuhimu wa kuondoa kinga ili maraisi waliopita wawajibishwe kisheria kwa makosa waliofanya walipokuwa madarakani.
 
Waseme na mikataba ya ndege,ujenzi wa Chato Airport,Reli ya Kisasa,n.k, nayo ilpelekwe Bungeni pamoja na kuondoa kinga ya Raisi,. wanakuja na hayo tu-Wasomi wa nchi hii ni shida.
Na Richmond je??
 
LHRC ni Wanafiki sana!

February 2008 Report ya Richmond ilipelekwa Bungeni ikajadiliwa na kufikiwa Maamuzi.

2015 wao LHRC Wakawa Wakala wa Yule Yule Fisadi wa Richmond
 
hapo kwenye Richmond kuna watu watakataa ili wasikose mgombea 2020.
 
Waseme na mikataba ya ndege,ujenzi wa Chato Airport,Reli ya Kisasa,n.k, nayo ilpelekwe Bungeni pamoja na kuondoa kinga ya Raisi,. wanakuja na hayo tu-Wasomi wa nchi hii ni shida.
na ile ya kuuziana nyumba za serikali mkuu.
 
Back
Top Bottom