Ulipokuwa ukihojiwa na ITV kwenye kipindi cha dakika 45 ulionesha jinsi ilivyokuwa ngumu kueleweka kimataifa kwenye suala la diplomasia wakati wa awamu ya tano.
Na ukasema diplomasia inaanzia ndani ya nchi, namna tunavyoendesha siasa zetu. Siasa zikiwa za hovyo hata diplomasia inakuwa ya hovyo.
Sasa umeteuliwa kuwa waziri wa Mambo ya nchi za nje kusimamia diplomasia ya hovyo maana mama ameanza kufanya siasa za hovyo.
Legacy yako itakuwa ni kusimamaia diplomasia ya hovyo.
Na ukasema diplomasia inaanzia ndani ya nchi, namna tunavyoendesha siasa zetu. Siasa zikiwa za hovyo hata diplomasia inakuwa ya hovyo.
Sasa umeteuliwa kuwa waziri wa Mambo ya nchi za nje kusimamia diplomasia ya hovyo maana mama ameanza kufanya siasa za hovyo.
Legacy yako itakuwa ni kusimamaia diplomasia ya hovyo.