Yale majitu yanayopenda ubabe na udikteta yamemzidi maarifa huyu mama ndiyo maana nia yake ya kujenga demokrasia imepuuziliwa mbali.Tanzania tushakua kichwa cha mwenzawazimu kama awamu ya Tano
Tumerudi kule kule kwa Magufuli
What a loss!
Sio 2015 kama mlivyodai kipindi kile?mwisho wa ccm 2025
Muulize Mwendazake huko kaburiniGaidi Mbowe anaendeleaje huko sero?
Hakuna siasa yoyote ya ovyo inyofanyika watu wanaambiwa watulie kidogo swala la katiba ni muhimu litajadiliwa wanaleta jeuli kuwa watamnyoa kama walivyomyoa Magufuli sasa tunataka tuone kati ya wao na Rais Samia nani ananyolewa?Ulipokuwa ukihojiwa na ITV kwenye kipindi cha dakika 45 ulionesha jinsi ilivyokuwa ngumu kueleweka kimataifa kwenye suala la diplomasia wakati wa awamu ya tano.
Na ukasema diplomasia inaanzia ndani ya nchi, namna tunavyoendesha siasa zetu. Siasa zikiwa za hovyo hata diplomasia inakuwa ya hovyo.
Sasa umeteuliwa kuwa waziri wa Mambo ya nchi za nje kusimamia diplomasia ya hovyo maana mama ameanza kufanya siasa za hovyo.
Legacy yako itakuwa ni kusimamaia diplomasia ya hovyo.
Wala hatujaludi hawa wamelikoroga wanapaswa kulinywaTanzania tushakua kichwa cha mwenzawazimu kama awamu ya Tano
Tumerudi kule kule kwa Magufuli
What a loss!
Lkn kunyolewa atanyolewa. SubiriniHakuna siasa yoyote ya ovyo inyofanyika watu wanaambiwa watulie kidogo swala la katiba ni muhimu litajadiliwa wanaleta jeuli kuwa watamnyoa kama walivyomyoa Magufuli sasa tunataka tuone kati ya wao na Rais Samia nani ananyolewa?
Sero ya Wote hata wewe ipo Siku utaipitia hujafa hujaumbikaGaidi Mbowe anaendeleaje huko sero?
Ulipokuwa ukihojiwa na ITV kwenye kipindi cha dakika 45 ulionesha jinsi ilivyokuwa ngumu kueleweka kimataifa kwenye suala la diplomasia wakati wa awamu ya tano.
Na ukasema diplomasia inaanzia ndani ya nchi, namna tunavyoendesha siasa zetu. Siasa zikiwa za hovyo hata diplomasia inakuwa ya hovyo.
Sasa umeteuliwa kuwa waziri wa Mambo ya nchi za nje kusimamia diplomasia ya hovyo maana mama ameanza kufanya siasa za hovyo.
Legacy yako itakuwa ni kusimamaia diplomasia ya hovyo.