Liberia: Rais awafanya wachezaji wa Timu ya Taifa kuwa watumishi wa umma , kulamba mshahara mnono.

Liberia: Rais awafanya wachezaji wa Timu ya Taifa kuwa watumishi wa umma , kulamba mshahara mnono.

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
- MillardAyoSPORTS.jpg
 
Tatizo letu tunadadisi sana mpaka tunaiikosesha majibu, cha msingi ni kupongeza na kuwatakia mafanikio.
Mpaka wametangaza maana yake washaweka mfumo,wewe na mimi huku hatuna haja ya kuhoji watafanyaje, wao wanaakili pia ya kutengeneza mifumo.
Big Up Liberia
 
George Weah sawa anataka kuwa motivate lakini sidhani kama team za taifa ni kama klabu. Mchezaji aki dip in form asiitwe wakati tayari yupo kwenye payroll itakuaje?

Ila Weah mjanja mjanja sana. Kwanini mwanae anachezea timu ya taifa ya Marekani na sio raia wa Liberia?
 
Nyie ndo huwa miongoni mwa wale ambao hupotosha jamii... yeye(weah) amesema yupo mbioni kufanya huo mpango ina maana bado haujakamilika wewe unatuambia tayari ameshawafanya kuwa watumishi
 
Nyie ndo huwa miongoni mwa wale ambao hupotosha jamii... yeye(weah) amesema yupo mbioni kufanya huo mpango ina maana bado haujakamilika wewe unatuambia tayari ameshawafanya kuwa watumishi
Kauli ya Rais ni amri .
 
Back
Top Bottom