JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Boti hiyo iliyokuwa imebeba wahamiaji wakielekea Barani Ulaya imezama katika Pwani ya Libya ilikuwa na abiria 60.
Watu watano wamesalimika akiwemo mtoto raia wa Syria, huku Wanausalama wakiwa na kazi ya kuopoa miwili kutoka kwenye bahari.
Libya imekuwa ikitumika kama njia kuvuka kwenda Ulaya licha ya kuwa kumekuwa na idadi kubwa ya vifo vinavyotokea baharini wakati wa kuvuka.
========
Migrant boat sinks off Libya killing 55 passengers
At least 55 migrants have been killed when their Europe-bound dinghy sank off the coast of Libya, the UN's migration agency says.
The boat - carrying 60 people - had set sail from a town to the east of the capital, Tripoli, before it capsized.
Five migrants survived - including a Syrian child - and were taken back to shore.
The Libyan coastguard have been working to retrieve bodies.
Libya is a common departure point for migrants attempting the perilous Mediterranean crossing to Europe. Hundreds have died so far this year.
Source: BBC
Watu watano wamesalimika akiwemo mtoto raia wa Syria, huku Wanausalama wakiwa na kazi ya kuopoa miwili kutoka kwenye bahari.
Libya imekuwa ikitumika kama njia kuvuka kwenda Ulaya licha ya kuwa kumekuwa na idadi kubwa ya vifo vinavyotokea baharini wakati wa kuvuka.
========
Migrant boat sinks off Libya killing 55 passengers
At least 55 migrants have been killed when their Europe-bound dinghy sank off the coast of Libya, the UN's migration agency says.
The boat - carrying 60 people - had set sail from a town to the east of the capital, Tripoli, before it capsized.
Five migrants survived - including a Syrian child - and were taken back to shore.
The Libyan coastguard have been working to retrieve bodies.
Libya is a common departure point for migrants attempting the perilous Mediterranean crossing to Europe. Hundreds have died so far this year.
Source: BBC