Libya yakataa kulipa fidia kwa waathirika wa Mabomu ya IRA

Hofstede

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2007
Posts
3,577
Reaction score
1,109

My take: Hii sasa ni aibu kubwa sana kwa Uingereza yaani baada ya kuona waathirika wa Lockerbie bombed plane wamelipwa fidia basi sasa hivi wanaona kuwa Libya ina hela za kumwaga. Je na wapelestina nao wakisema marekani iwalipe kutokana na mashambulizi ya Islael yanayotokana na silaha zilizotokea Marekani, Vivyo hivyo Iraq, Afghanistan na maeneo yote yenye vurugu ni nani atanusurika?.

Hii ni aibu kubwa kwa nchi zilizoendelea kulazimisha fidia kwa nchi ya Afrika kisa tu wanahazina ya mafuta. LOL!!
 
Uingereza nao waanze kuwalipa waanga wa Mau Mau, na nchi zote walizo zitawala nazo zilipwe fidia kwa kudhalilishwa na kubaguliwa ikiwemo Ireland. Kisha ndio iwageukie wengine kutafuta kulipwa fidia... sic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…