ikiumasema
JF-Expert Member
- Oct 9, 2015
- 923
- 1,299
Ndugu zangu salamu ziwafikie,
Nimekuwa nasoma mada mbalimbali hapa jukwaani, wiki hii imetrend mada ya dada wa Mwanza anayeuza makande. Wengi wamemsifia na kumpongeza kwa uthubutu wake, kundi la pili wamemponda kwa sababu mbalimbali na pia kwa kiwango chake cha elimu.
Naomba na mimi nitoe ya moyoni, sisi wengi tuliosoma Tanzania wengi kama 90% tunaishi kwenye middle class life with full of stress, full of torture refer mkuu anavyowadhalilisha wasome hadharani. Kumbuka watu hawa wana uelewa, wana hisia kama wewe, wana familia na pia wanafanya makosa kama binadamu wengine...
Bad to all most of kazi wanazozipata salary yake ni mbovu sana refer kwa Walimu, Polisi hata watu wa afya aisee tuna hali mbaya sana. So inafikia stage mtu anaamua ni bora aweke vyeti pembeni atafute namna ya kuyaendesha maisha yake kwa furaha. Hapo anakuwa kakosea nini wakuu?
Just imagine Serikali inashindwa hata kulipa stahiki za Watumishi wake wanaodai pesa zao na kupandishwa madaraja kwa zaidi hata ya miaka saba! Wakuu wasomi mnataka tufanye nini?
Leo mimi ni Mwalimu nalipwa less than 500k per month mkuu, bado nafanya kazi kupita uwezo wangu, mkuu nikiamua kuuza hata mayai utanilaumu? Bora hata bodax2 anaweza pata zaid ya mshahara wang japo hajaenda shule sasa wasomi huko mtaani
Mnatudharau, mnatutukana, mnatukebehi sana na mnafurahia sana tulivyobanwa huku tunawatibu, tunawafundishia watoto wenu na kulinda usalama wenu tumevumilia bado tu hata shukrani na mnatucheka tuna maisha magumu so painfull, ama kweli kitanda usichokilalia..........
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuwa nasoma mada mbalimbali hapa jukwaani, wiki hii imetrend mada ya dada wa Mwanza anayeuza makande. Wengi wamemsifia na kumpongeza kwa uthubutu wake, kundi la pili wamemponda kwa sababu mbalimbali na pia kwa kiwango chake cha elimu.
Naomba na mimi nitoe ya moyoni, sisi wengi tuliosoma Tanzania wengi kama 90% tunaishi kwenye middle class life with full of stress, full of torture refer mkuu anavyowadhalilisha wasome hadharani. Kumbuka watu hawa wana uelewa, wana hisia kama wewe, wana familia na pia wanafanya makosa kama binadamu wengine...
Bad to all most of kazi wanazozipata salary yake ni mbovu sana refer kwa Walimu, Polisi hata watu wa afya aisee tuna hali mbaya sana. So inafikia stage mtu anaamua ni bora aweke vyeti pembeni atafute namna ya kuyaendesha maisha yake kwa furaha. Hapo anakuwa kakosea nini wakuu?
Just imagine Serikali inashindwa hata kulipa stahiki za Watumishi wake wanaodai pesa zao na kupandishwa madaraja kwa zaidi hata ya miaka saba! Wakuu wasomi mnataka tufanye nini?
Leo mimi ni Mwalimu nalipwa less than 500k per month mkuu, bado nafanya kazi kupita uwezo wangu, mkuu nikiamua kuuza hata mayai utanilaumu? Bora hata bodax2 anaweza pata zaid ya mshahara wang japo hajaenda shule sasa wasomi huko mtaani
Mnatudharau, mnatutukana, mnatukebehi sana na mnafurahia sana tulivyobanwa huku tunawatibu, tunawafundishia watoto wenu na kulinda usalama wenu tumevumilia bado tu hata shukrani na mnatucheka tuna maisha magumu so painfull, ama kweli kitanda usichokilalia..........
Sent using Jamii Forums mobile app