Licha ya Kuwa kwenye Vita kwa Miaka 3, Ukraine imeweka rekodi ya mauzo ya Bidhaa za Kilimo kwenye Soko la Dunia. Tanzania tuna la Kujifunza

Licha ya Kuwa kwenye Vita kwa Miaka 3, Ukraine imeweka rekodi ya mauzo ya Bidhaa za Kilimo kwenye Soko la Dunia. Tanzania tuna la Kujifunza

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Ukraine imeandikisha mauzo ya bidhaa za Kilimo Nje ya Nchi Zenye zaidi ya Dola bil.24 ikikaribia rekodi ya kabla ya vita mwaka 2021.

Wazungu ni watu wenye akili sana.Just imagine vita ilivyopamba moto kati ya Ukraine na Russia Kwa miaka 3 lakini Hawa Jamaa wameweza kuendelea na Kilimo Chao kama kawaida.

Na soko kuu la mazao ni Africa hususani nafaka.

Screenshot_20250105-112619.jpg
Screenshot_20250105-112800.jpg


My Take
Tanzania tunatakiwa kujifunza Kwa Nchi kama Ukraine kwamba wao wanawezaje kujifanya Kilimo kuwa ndio Kiongozi wa kusingizia Fedha za Kigeni kushinda bidhaa zingine.
 
Ukraine imeandikisha mauzo ya bidhaa za Kilimo Nje ya Nchi Zenye zaidi ya Dola bil.24 ikikaribia rekodi ya kabla ya vita mwaka 2021.

Wazungu ni watu wenye akili sana.Just imagine vita ilivyopamba moto kati ya Ukraine na Russia Kwa miaka 3 lakini Hawa Jamaa wameweza kuendelea na Kilimo Chao kama kawaida.

Na soko kuu la mazao ni Africa hususani nafaka.
View attachment 3194237View attachment 3194238

My Take
Tanzania tunatakiwa kujifunza Kwa Nchi kama Ukraine kwamba wao wanawezaje kujifanya Kilimo kuwa ndio Kiongozi wa kusingizia Fedha za Kigeni kushinda bidhaa zingine.
Mechanisation of agriculture ndo wanao tumia Ukurain sisi bado tunatumia rudimentary tools, pia kipaumbele cha nchi sio kilimo ni siasa tu........pesa alio tumika kujenga mji wa serikali Dodoma ingewekezwa kwenye Agricultutal mechanization Tanzania ingekua kama Misiri au South Africa.....kujenga mji wa dodoma haina impact katika maisha ya watanzania 90% ni 10% wana siasa ndo watafaidika na kuhamisha huo mji.
 
Mechanisation of agriculture ndo wanao tumia Ukurain sisi bado tunatumia rudimentary tools, pia kipaumbele cha nchi sio kilimo ni siasa tu........pesa alio timika kujenga mji wa serikali Dodoma ingewekezwa kwenye Agricultutal mechanization Tanzania ingekua kama Misiri au South Africa.
Linachozuia Tanzania kufanya hiyo mechanisation ni nini kama sio kukosa akili na kujitambus?

Tunaendelea kuomba shortage ya Dola Hadi lini?

Inatia shaka sana kuamini kama mtu mweusi ana akili.
 
Back
Top Bottom