We chizi kweli waajiri wasio na weledi ndio hawa;
Senzo mlimchukua kutoka simba,
Manara mlimchukua kutoka simba,
Yule kocha wa goal keeper wa yanga ametoka simba,
hivi hao wafanyakazi wasio na sifa ndio wapoje na je simba wameajiri mtu yeyote kutoka yanga nyie endeleeni kujitekenya mtacheka CAF champion's league ikianza mje mseme simba wanaroga wakati nyinyi ndio waasisi.