lil wayne
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 992
- 904
Licha ya ndoto za watani wangu Yanga SC kutinga hatua ya robo fainali kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika kufifia, inaonekana hawata rudi bure.
Hatua ya Makundi #CAFCC atakayemaliza
4th gets $150k (327,820,968Tsh).
3rd gets $240k (524,518,709.Tsh).
Huu mkwanja ni sawa na udhamini wa Azam kwa misimu 3.
Hapa tuna la kujifunza na sisi kama Simba SC, Tunawaasa viongozi kuwa msimu ujao tunahitaji kushiriki kama sio klabu bingwa then iwe Shirikisho..... Mbwembwe na visingizio vya kijinga pale tunapo fanya ovyo kwenye Ligi vifikie ukomo msimu 2016/17.
Hatua ya Makundi #CAFCC atakayemaliza
4th gets $150k (327,820,968Tsh).
3rd gets $240k (524,518,709.Tsh).
Huu mkwanja ni sawa na udhamini wa Azam kwa misimu 3.
Hapa tuna la kujifunza na sisi kama Simba SC, Tunawaasa viongozi kuwa msimu ujao tunahitaji kushiriki kama sio klabu bingwa then iwe Shirikisho..... Mbwembwe na visingizio vya kijinga pale tunapo fanya ovyo kwenye Ligi vifikie ukomo msimu 2016/17.