MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,184
- 5,435
Kagera kaliwa tayari.Yanga wametoka sare Leo na Prisons na kuwafanya mashabiki wake kuwa na taharuki, to me, Yanga bado wana nafasi ya kuwa mabingwa wa nchi hii kutokana na mechi ngumu alizokuwa nazo Simba, Simba na wana gemu na Kagera, Wanatakiwa waende Geita, waende Ruvuma kwa Mbeya Kwanza na baadae Prisons kule Mbeya, sijawaongelea Mtibwa hapo, wachezaji wa Simba waliopo ss hv sioni nafasi ya kushinda gemu zote hizo huku Dar Yanga wakipoteza.
Hesabu ziko upande wa Yanga
nimeitunza mkuu tena kwa heshma kubwa iliyotukuka.Tunzeni hii nukuu "Yanga itaukosa ubingwa kwa tofauti ya point moja tu"
Kati ya izo.mechi 7, omdoa mechi na 2 za mbeya city, Dodoma city, biashara Utd gme zote izo ni za away kwa yanga , sasa izo 4 zilizo bakia sasa mna mtibwa,. Coastal, Polisi Tz izi mechi zote hapa nikiangalia kwa haraka haraka labda mechimlzm jasho liwatoke maana hawa wote ni washindani wanao wania wasiporomoke darajaNa KMC pia kwahyo ubingwa wako ni lazima ushinde mechi zote 8 bila sare hata 1,Ila mm ubingwa wangu kati ya hizo mechi 7 inabidi nishinde mechi 4 tu
Labda Tu Nikwambie Hapo Yanga Atashinda Izo Zote Na Shoo Inaanza Upya Kwa Dodoma Jiji.Kati ya izo.mechi 7, omdoa mechi na 2 za mbeya city, Dodoma city, biashara Utd gme zote izo ni za away kwa yanga , sasa izo 4 zilizo bakia sasa mna mtibwa,. Coastal, Polisi Tz izi mechi zote hapa nikiangalia kwa haraka haraka labda mechimlzm jasho liwatoke maana hawa wote ni washindani wanao wania wasiporomoke daraja