Life after Death: What happens after death?

Life after Death: What happens after death?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi,

Hili ni bandiko la faraja kwa wafiwa waliowapoteza Wapendwa wao, wakidhani kifo ndio mwisho wa maisha, kumbe sio. Kifo ni mwisho tuu wa mwili na uhai, lakini roho ipo, haifi na inaishi milele.

Uhai umeumbwa na kifo pia kimeumbwa. Ukizaliwa ni hakika siku yako uliondikiwa kufa, ikifika unakufa, ila kinachokufa ni mwili tuu, ambao unaoza na kugeuka mavumbi, watu wangerudi kuyafukua makaburi ya Wapendwa wao na kushuhudia nini kinatokea kwa miili baada ya kuzikwa, wengi wangeamua bora creamation.

Knowledge yetu ya maisha baada ya kifo is very limited to the ordinary life. Ukikubali kujua zaidi ya unachojua, na ukiwa tayari kujua, mwalimu atatokea na kukufunulia yale usiyoyajua kuhusu maisha baada ya kifo. Mwalimu huyo will just come from nowhere, atakupeleka kwenye 'enlightment' ya kujua deeper Into life, before life na life after life.

Siku ambayo mwalimu atakuja ni wakati tuu wewe ukiwa tayari "when the student is ready, the teacher will apear" - Linda Goodman's Star Signs.

Mimi mwenyewe, bado sijafikia kiwango cha kumpata mwalimu, lakini kwa mujibu wa maandiko ya wafuasi wa Jumuiya ya 'Rosae Crusis' Msalaba wenye uaridi linalotiririsha tone ya damu wanaamini, kuna maisha kabla ya haya na kuna maisha baada ya haya. Yaani 'life before life' na 'life after life'.

Wafuasi wa Rosae Crusis wanaitwa ma 'rosecrusians'. Hawa jamaa wanauwezo wa kufanya kila kitu, uwezo wa kuwepo mahali popote in a split of second, uwezo wa kuwa invicible na uwezo wa kutenda miujiza.

Kwenye maandiko yao, wanadai hata Jesus Christ was a rosecrusian. Kuna uwezekano hawa wahubiri wanaofanya miujiza ni marosecrusians.

Wao wanaamini kuna 'Supreme Being', call him what you may, be God, Allah, Budha, Brahma, Bahai,etc. Uli kumfikia lazima upitie mbingu 7 waziitazo Eternities. Katika safari yako, utazaliwa, utakufa, utaliwa, utakufa na kuendelea hivyo hivyo mpaka ufike kwenye the 7th Eternity.

Ukufanikiwa kuwa enlighterned, you have the control of death. Yaani unashinda kifo na unaishi milele, ila lazima ubadilishe body from time to time kwa sababu mwili unachakaa mapema.

Mwandishi Linda Goodmans kwenye kitabu chake cha 'Star Signs'
Anasema, you have the control over death na kuna watu aliwajua toka akiwa mdogo, na wanaishi mpaka kesho na umri usio hesabika.

Linda anasema, kwa vile watu huishi takriban miaka 100, ukiweza kuyashinda mauti, unafikia muda wale wote wa rika lako wanakuwa wamekufa mpaka unaona noma, its time to change body, unakubali kufa, wanazika mwili, huku in actual fact, umehama mwili uliochoka na kuchukua mwili mpya na kuishi maisha mapya mahali papya au hata pale pale kama mtu mwingine, jina jingine na mwili mwingine.

Mimi kwa kiasi fulani nakubaliana nao, tatizo ili ukubaliwe kuwa mmoja wao, lazima ukubali kula kiapo cha usiri na kufanyiwa initiations na hapo ndipo palipo nishinda nikaamua kukubali kuishi maisha haya ya kawaida na knowledge haba. Haya machache nimeyasoma kwa wizi toka vitabu vya muumini viitwavyo 'monograms'. Mambo ya 'de-javu' ni vitu vya ukweli, only vivid of life before life.

Hivyo tunapofiwa na Wapendwa wetu, tuwalilie kwa kiasi tuu kwa sababu tutawamiss, lakini let's celebrate their life kwa imani kuwa kilicho kufa ni mwili tuu, lakini roho zao zipo, na hapo msibani wapo, wanaona kila kitu, wanasikia kila kitu, na baada ya mazishi, roho hizo zinaishi milele.

Just rejoice, deaths is just a change of bodily state from life to lifeless, but the spirit lives forever, it's eternal.

Paskali
Rejea za mwandishi kuhusu after life and reincarnation
 
Mkuu Pasco, thanks once again, lakini tuangalie mambo fulani uliyo sema kwenye mjadala:

Hii abstract hapa chini ni maswali ambayo nitakuwa ninajadiliana nawe. Yaangalie kimakini.

1. Knowledge yetu is limited to the ordinary life.

2. Into life, before life and after life.

3. 'when the student is ready, the teacher will apear'.

4. Bado sijafikia kiwango cha kumpata mwalimu

5. Hawa jamaa wanauwezo wa kufanya kila kitu, uwezo wa kuwepo mahali popote in a split of second, uwezo wa kuwa invicible na uwezo wa kutenda miujiza

6. Wao wanaamini kuna 'Supreme Being'

7. Ili kumfikia lazima upitie mbingu 7 waziitazo Eternities

8. the control of death, kuna watu aliwajua toka akiwa mdogo, na wanaishi mpaka kesho na umri usio hesabika.

9. its time to change body, unakubali kufa, wanazika mwili, huku in actual fact, umehama mwili na kuchukua mwili mpya na kuishi maisha mapya

10. lazima ukubali kula kiapo cha usiri na kufanyiwa initiations

11. knowledge haba.
 
na kama huna imani ndugu yangu hapo itakuaje?

Kila mtu anaamini kitu fulani ..
wengine ngombe, miti, bahari, milima
pesa etc...
kwa hiyo kila mtu ana imani...

Imani mimi ninayoongelea ni
Imani ya Kumwamini MUngu ..
Haijalishi wewe ni dini gani
ilimradi unamwamini aliye juu..

sasa kuna watu ka ma Wapagani na scientist
hao wana Imani ambazo ni tofauti ..
mwanasansi atakupa evidence ya nini kimetoka wapi
na kwa nini kipo hapo anaweza hata kwenda extra mile
kukwambia lini kitakufa (matabirio tuuu) .. hiyo ndo Imani yao..
Mpagani ye anaamini tunazaliwa na kufa na kuoza
na huo ndio mwisho wako hakuna cha mbingu..

siwezi sema ambao hawamwani Mungu
hawataenda mbinguni kwani mimi ni binadamu
sawa na wao nani mapungufu yangu.. lakini
ntabaki na Imani na matumaini yangu ya kwenda mbinguni ..
 
This answer is based on my belief:

Swali lako linaonyesha kuwa wewe kwanza unaamini kuwa 'mimi' sio huu mwili. That is the first stage. Mwili ni box tu na unarudi mavumbini. Kiswahili sio kizuri sana katika kuelezea hii kitu kwa hiyo nitatumia misamiati ya english. Mwanadamu ni tripartite being. Tuna spirit, soul and body. The body dies and perishes, but the soul lives on. Sasa wapi inaenda inategemea na jinsi ulivyoishi na imani. There are only two possibilities...Heaven and Hell. Wapi unaenda ni choice yako - ie: free will.

Ukisoma ule mfano wa Yesu wa Tajiri na Maskini waliokufa utaona picha ya huko mbeleni. Sasa kama wewe humwamini Yesu, hilo ni lingine. Hii inapatikana Luke 16: 19-31.

Yesu ndio Njia, Kweli na Uzima. Huwezi kwenda Mbinguni bila yeye. John 14: 5 Thomas said to him, "Lord, we don't know where you are going, so how can we know the way?"
6 Jesus answered, "I am the way and the truth and the life. No one comes to the Father except through me.
Hii ndio imani yangu.

Pia unaweza soma hapa kuhusu hiyo tripartite nature ya mwanadamu: Spirit, Soul and Body - the Tripartite nature of Man | Christian Faith Site

Pasaka njema
 
Kila mtu anaamini kitu fulani ..
wengine ngombe, miti, bahari, milima
pesa etc...
kwa hiyo kila mtu ana imani...

Imani mimi ninayoongelea ni
Imani ya Kumwamini MUngu ..
Haijalishi wewe ni dini gani
ilimradi unamwamini aliye juu..

sasa kuna watu ka ma Wapagani na scientist
hao wana Imani ambazo ni tofauti ..
mwanasansi atakupa evidence ya nini kimetoka wapi
na kwa nini kipo hapo anaweza hata kwenda extra mile
kukwambia lini kitakufa (matabirio tuuu) .. hiyo ndo Imani yao..
Mpagani ye anaamini tunazaliwa na kufa na kuoza
na huo ndio mwisho wako hakuna cha mbingu..

siwezi sema ambao hawamwani Mungu
hawataenda mbinguni kwani mimi ni binadamu
sawa na wao nani mapungufu yangu.. lakini
ntabaki na Imani na matumaini yangu ya kwenda mbinguni ..
nashukuru sana japo umenitoa kwenye reli ndugu yangu.
 
This answer is based on my belief:
Swali lako linaonyesha kuwa wewe kwanza unaamini kuwa 'mimi' sio huu mwili. That is the first stage. Mwili ni box tu na unarudi mavumbini. Kiswahili sio kizuri sana katika kuelezea hii kitu kwa hiyo nitatumia misamiati ya english. Mwanadamu ni tripartite being. Tuna spirit, soul and body. The body dies and perishes, but the soul lives on. Sasa wapi inaenda inategemea na jinsi ulivyoishi na imani. There are only two possibilities...Heaven and Hell. Wapi unaenda ni choice yako - ie: free will.
Ukisoma ule mfano wa Yesu wa Tajiri na Maskini waliokufa utaona picha ya huko mbeleni. Sasa kama wewe humwamini Yesu, hilo ni lingine. Hii inapatikana Luke 16: 19-31.
Yesu ndio Njia, Kweli na Uzima. Huwezi kwenda Mbinguni bila yeye. John 14: 5 Thomas said to him, "Lord, we don't know where you are going, so how can we know the way?"
6 Jesus answered, "I am the way and the truth and the life. No one comes to the Father except through me.
Hii ndio imani yangu.
Pia unaweza soma hapa kuhusu hiyo tripartite nature ya mwanadamu: Spirit, Soul and Body - the Tripartite nature of Man | Christian Faith Site
Pasaka Njema...
Pasaka njema wewe pia ndugu yangu, ok ngoja Pasaka ipite kwanza then nitakuja na swali zuri tu ,
 
Mbinguni my dear ...
na ni IMANI yangu
inayofanya niamini hilo..
si lazima kila kitu upate Proof au Evidence...
saa nyingine Imani na Matumani itakufikisha uendapo..

Ikiwa tutaenda mbinguni mbona Mungu alipomuumba Mzazi wetu wa kwanza Adam na Hawa hawakuishi mbiguni? Na ikiwa tunamatumaini ya kuishi mbinguni kwanini tuonauomba ufalme wa mungu uje duniani?
 
I hope this presentation will enlighten many about the concept of death.
The Pyramids, the Bible, and the Secret of Death Revealed
1. Low quality Discoveries 08 - Episode 15 - Low Quality
2. High quality Discoveries 08 - Episode 15 - High Quality
 
Big Bang Theory - The Premise
The Big Bang theory is an effort to explain what happened at the very beginning of our universe. Discoveries in astronomy and physics have shown beyond a reasonable doubt that our universe did in fact have a beginning. Prior to that moment there was nothing; during and after that moment there was something: our universe. The big bang theory is an effort to explain what happened during and after that moment.

According to the standard theory, our universe sprang into existence as "singularity" around 13.7 billion years ago. What is a "singularity" and where does it come from? Well, to be honest, we don't know for sure. Singularities are zones which defy our current understanding of physics. They are thought to exist at the core of "black holes." Black holes are areas of intense gravitational pressure. The pressure is thought to be so intense that finite matter is actually squished into infinite density (a mathematical concept which truly boggles the mind). These zones of infinite density are called "singularities." Our universe is thought to have begun as an infinitesimally small, infinitely hot, infinitely dense, something - a singularity. Where did it come from? We don't know. Why did it appear? We don't know.

After its initial appearance, it apparently inflated (the "Big Bang"), expanded and cooled, going from very, very small and very, very hot, to the size and temperature of our current universe. It continues to expand and cool to this day and we are inside of it: incredible creatures living on a unique planet, circling a beautiful star clustered together with several hundred billion other stars in a galaxy soaring through the cosmos, all of which is inside of an expanding universe that began as an infinitesimal singularity which appeared out of nowhere for reasons unknown. This is the Big Bang theory.
Big Bang Theory - Common Misconceptions
There are many misconceptions surrounding the Big Bang theory. For example, we tend to imagine a giant explosion. Experts however say that there was no explosion; there was (and continues to be) an expansion. Rather than imagining a balloon popping and releasing its contents, imagine a balloon expanding: an infinitesimally small balloon expanding to the size of our current universe.

Another misconception is that we tend to image the singularity as a little fireball appearing somewhere in space. According to the many experts however, space didn't exist prior to the Big Bang. Back in the late '60s and early '70s, when men first walked upon the moon, "three British astrophysicists, Steven Hawking, George Ellis, and Roger Penrose turned their attention to the Theory of Relativity and its implications regarding our notions of time. In 1968 and 1970, they published papers in which they extended Einstein's Theory of General Relativity to include measurements of time and space.1, 2 According to their calculations, time and space had a finite beginning that corresponded to the origin of matter and energy."3 The singularity didn't appear in space; rather, space began inside of the singularity. Prior to the singularity, nothing existed, not space, time, matter, or energy - nothing. So where and in what did the singularity appear if not in space? We don't know. We don't know where it came from, why it's here, or even where it is. All we really know is that we are inside of it and at one time it didn't exist and neither did we.

Big Bang Theory - Evidence for the Theory

What are the major evidences which support the Big Bang theory?
  • First of all, we are reasonably certain that the universe had a beginning.
  • Second, galaxies appear to be moving away from us at speeds proportional to their distance. This is called "Hubble's Law," named after Edwin Hubble (1889-1953) who discovered this phenomenon in 1929. This observation supports the expansion of the universe and suggests that the universe was once compacted.
  • Third, if the universe was initially very, very hot as the Big Bang suggests, we should be able to find some remnant of this heat. In 1965, Radioastronomers Arno Penzias and Robert Wilson discovered a 2.725 degree Kelvin (-454.765 degree Fahrenheit, -270.425 degree Celsius) Cosmic Microwave Background radiation (CMB) which pervades the observable universe. This is thought to be the remnant which scientists were looking for. Penzias and Wilson shared in the 1978 Nobel Prize for Physics for their discovery.
  • Finally, the abundance of the "light elements" Hydrogen and Helium found in the observable universe are thought to support the Big Bang model of origins.
Big Bang Theory - The Only Plausible Theory?
Is the standard Big Bang theory the only model consistent with these evidences? No, it's just the most popular one. Internationally renown Astrophysicist George F. R. Ellis explains: "People need to be aware that there is a range of models that could explain the observations….For instance, I can construct you a spherically symmetrical universe with Earth at its center, and you cannot disprove it based on observations….You can only exclude it on philosophical grounds. In my view there is absolutely nothing wrong in that. What I want to bring into the open is the fact that we are using philosophical criteria in choosing our models. A lot of cosmology tries to hide that."4

In 2003, Physicist Robert Gentry proposed an attractive alternative to the standard theory, an alternative which also accounts for the evidences listed above.5 Dr. Gentry claims that the standard Big Bang model is founded upon a faulty paradigm (the Friedmann-lemaitre expanding-spacetime paradigm) which he claims is inconsistent with the empirical data. He chooses instead to base his model on Einstein's static-spacetime paradigm which he claims is the "genuine cosmic Rosetta." Gentry has published several papers outlining what he considers to be serious flaws in the standard Big Bang model.6 Other high-profile dissenters include Nobel laureate Dr. Hannes Alfvén, Professor Geoffrey Burbidge, Dr. Halton Arp, and the renowned British astronomer Sir Fred Hoyle, who is accredited with first coining the term "the Big Bang" during a BBC radio broadcast in 1950.
Big Bang Theory - What About God?
Any discussion of the Big Bang theory would be incomplete without asking the question, what about God? This is because cosmogony (the study of the origin of the universe) is an area where science and theology meet. Creation was a supernatural event. That is, it took place outside of the natural realm. This fact begs the question: is there anything else which exists outside of the natural realm? Specifically, is there a master Architect out there? We know that this universe had a beginning. Was God the "First Cause"? We won't attempt to answer that question in this short article. We just ask the question:
 
Does God Exist - The Big Questions
Does God exist? An answer to this fundamental question is a prerequisite for answering the other big questions of life: Where did we come from? Why are we here? Do we serve a purpose? Do we have any intrinsic value? What happens after we die? The question of the existence of God is fundamental.
Does God Exist - A Philosophical Issue
Before we ask the question "Does God exist?" we first have to deal with our philosophical predispositions. If, for example, I am already dedicated to the philosophical idea that nothing can exist outside of the natural realm (i.e. there can be no supernatural God), no amount of evidence could convince me otherwise. Asking the question "does God exist?" would be pointless. My answer would be "No, He doesn't," regardless of whether God truly exists or not. The question would be impossible to answer from an evidentiary standpoint simply because anything which God might have done (that is, any supernatural act which might serve as evidence for His existence) would have to be explained away in terms of natural causes, not because we know what those natural causes could possibly be, but simply because a supernatural God is not allowed to exist!

Dr. Richard Lewontin, the Alexander Agassiz Professor of Zoology at Harvard University, put it like this: "It is not that the methods and institutions of science somehow compel us to accept a material explanation of the phenomenal world, but, on the contrary, that we are forced by our a priori adherence to material causes to create an apparatus of investigation and a set of concepts that produce material explanations, no matter how counterintuitive, no matter how mystifying to the uninitiated. Moreover, that materialism is absolute, for we cannot allow a Divine Foot in the door" (Richard Lewontin, "Billions and Billions of Demons," New York Review of Books, January 9, 1997, p. 28).

If, on the other hand, I were neutral, and didn't already have an "a priori adherence" to a particular worldview (be it naturalistic or otherwise), the question "does God really exist?" wouldn't be pointless at all. Rather, it would be the first step in an objective and meaningful search for ultimate truth. Our willingness to ask the question with an open mind is fundamental to our ability to discover the truth behind the answer. So first of all, before you even ask the question, decide whether or not you're really willing to accept the answer.

Does God Exist - Things to Consider

Once you're ready to ask the question, "does God exist?" here are a few observations to consider as you begin your search for an objective answer:
  • Discoveries in astronomy have shown beyond a reasonable doubt that the universe did, in fact, have a beginning. There was a single moment of creation.
  • Advances in molecular biology have revealed vast amounts of information encoded in each and every living cell, and molecular biologists have discovered thousands upon thousands of exquisitely designed machines at the molecular level. Information requires intelligence and design requires a designer.
  • Biochemists and mathematicians have calculated the odds against life arising from non-life naturally via unintelligent processes. The odds are astronomical. In fact, scientists aren't even sure if life could have evolved naturally via unintelligent processes. If life did not arise by chance, how did it arise?
  • The universe is ordered by natural laws. Where did these laws come from and what purpose do they serve?
  • Philosophers agree that a transcendent Law Giver is the only plausible explanation for an objective moral standard. So, ask yourself if you believe in right and wrong and then ask yourself why. Who gave you your conscience? Why does it exist?
  • People of every race, creed, color, and culture, both men and women, young and old, wise and foolish, from the educated to the ignorant, claim to have personally experienced something of the supernatural. So what are we supposed to do with these prodigious accounts of divine healing, prophetic revelation, answered prayer, and other miraculous phenomena? Ignorance and imagination may have played a part to be sure, but is there something more?
If your curiosity has been piqued and you desire to look into this matter further, we recommend that you consider the world's assortment of so-called Holy Books. If God does exist, has He revealed Himself? And if He has revealed Himself, surely He exists
 
Duh umenikumbusha kuhusu kifo, unajua sasa hivi watu tunaishi kama hakuna kufa vile hata hatujiandai na ile safari inayoongelewa na kila dini,who ever aliyeanzisha vitabu vya dini ana akili sana
 
Duh umenikumbusha kuhusu kifo, unajua sasa hivi watu tunaishi kama hakuna kufa vile hata hatujiandai na ile safari inayoongelewa na kila dini,who ever aliyeanzisha vitabu vya dini ana akili sana

Kwahiyo ukifa unaenda wapi bibie?
 
Nipo kwenye msiba wa rafiki yangu wa karibu. Wakati naendelea kusikitika na kuomboleza kifo cha rafiki yangu huyu kuna swali linanisumbua kichwa. Naombeni ndugu zangu Wakristu kwa Waislam na Wapagani.

Ni ni kinampata mwanadamu baada ya kufa? Anakwenda wapi mara tu baada ya kufa?

Kwa hili naombeni tujadili kwa staha maana msiba niliopo umenigusa sana.

Asanteni kwa michango yenu ya kujengana kiimani.
 
Nipo kwenye msiba wa rafiki yangu wa karibu. Wakati naendelea kusikitika na kuomboleza kifo cha rafiki yangu huyu kuna swali linanisumbua kichwa. Naombeni ndugu zangu Wakristu kwa Waislam na Wapagani.

Ni ni kinampata mwanadamu baada ya kufa? Anakwenda wapi mara tu baada ya kufa?

Kwa hili naombeni tujadili kwa staha maana msiba niliopo umenigusa sana.

Asanteni kwa michango yenu ya kujengana kiimani.


kwanza nakupa pole kwa msiba

pili natarajia mara nyengine utakuja kwa heshima bila kutumia jaziba

ukipata wakati soma hii link KUFA UFUFUKO JAHANNAM - Harun Yahya
 
Kufa kwa mtu, mti, sisimizi.... au chochote chenye kuishi NI SAWA TU. Sema binadamu kwa akili yake amejifanya kujipa matumaini kuwa kuna maisha baada ya kufa. Ukifa umekufa tu. Hizo ni ndoto za mchana na kujipa matumaini. Linda uahi wako maana hakuna maisha zaidi ya kufa. Mnisamehe mimi ni mgeni msema kweli.
 
Back
Top Bottom