Life after life is Total Darkness and extremely silent.

Life after life is Total Darkness and extremely silent.

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Salaam.

Kwangu mimi nahisi roho ikiacha mwili basi inakutana na kiza kinene na ukimya wa maisha, nafsi na roho yako itakuwepo na inaweza kufika mbali sana, mfano inaweza kufika sayari ya Pluto na kurudi ndani ya sekunde 30.

Kama una uwezo wa kukaa vizuri au kuishi vizuri hapa Duniani basi wakati ni wako ishi unavyotaka maana hakuna maisha mengine zaidi ya hapa Duniani.

Hakikisha vizazi vyako unaviachia Mali za kutosha, na wosia wa kumtukuza Mungu, Maana baada ya hapo unaenda kukutama na Giza nene na ukimya wa maisha.

Ukiwa na dhambi sana basi roho yako itatoka huku ukiumia sana na maumivu yasio na kiasi.

Ukiwa mtenda mema basi roho yako itatoka taratibu, mara nyingi utakuwa kama unajisikia kulala kumbe ndio kila kiungo cha mwili kina shutdown mpaka kiungo cha mwisho ambacho ni Ubongo.

Nayaandika haya baada ya kutafakari sana mwisho wa maisha utakuawaje..

Nawasilisha kwa sauti kuu na feeling za mpepee.
 
Salaam.

Kwangu mimi nahisi roho ikiacha mwili basi inakutana na kiza kinene na ukimya wa maisha, nafsi na roho yako itakuwepo na inaweza kufika mbali sana, mfano inaweza kufika sayari ya Pluto na kurudi ndani ya sekunde 30.

Kama una uwezo wa kukaa vizuri au kuishi vizuri hapa Duniani basi wakati ni wako ishi unavyotaka maana hakuna maisha mengine zaidi ya hapa Duniani.

Hakikisha vizazi vyako unaviachia Mali za kutosha, na wosia wa kumtukuza Mungu, Maana baada ya hapo unaenda kukutama na Giza nene na ukimya wa maisha.

Ukiwa na dhambi sana basi roho yako itatoka huku ukiumia sana na maumivu yasio na kiasi.

Ukiwa mtenda mema basi roho yako itatoka taratibu, mara nyingi utakuwa kama unajisikia kulala kumbe ndio kila kiungo cha mwili kina shutdown mpaka kiungo cha mwisho ambacho ni Ubongo.

Nayaandika haya baada ya kutafakari sana mwisho wa maisha utakuawaje..

Nawasilisha kwa sauti kuu na feeling za mpepee.
Mkuu hayo umeatoa wapi? Au nifikra zako kama zawengine.
 
Tunaenda mbinguni kwa baba. Kuna bikra 72 japo mimi nilikuwa nataka mishangazi 400.
Sasa hapo mnaanza kuingiza chuki zenu katika Dini fulani, wakati hapo kuna Dini inahidi kwaya na asari tu uko mbinguni
 
Hivi Na wale Wanyama Tunaochinja Na Kula Na Wale Wanaokufa Kutokana Na Sababu Mbalimbali Za Kiulimwengu Nao Roho Zao Zitaenda Kwenye Kiza Tulivu Kuungana Na Nafsi Na Roho Zetu Pia Maana Wengine Tulikuwa Twawafuga Hapo Kabla
 
Salaam.

Kwangu mimi nahisi roho ikiacha mwili basi inakutana na kiza kinene na ukimya wa maisha, nafsi na roho yako itakuwepo na inaweza kufika mbali sana, mfano inaweza kufika sayari ya Pluto na kurudi ndani ya sekunde 30.

Kama una uwezo wa kukaa vizuri au kuishi vizuri hapa Duniani basi wakati ni wako ishi unavyotaka maana hakuna maisha mengine zaidi ya hapa Duniani.

Hakikisha vizazi vyako unaviachia Mali za kutosha, na wosia wa kumtukuza Mungu, Maana baada ya hapo unaenda kukutama na Giza nene na ukimya wa maisha.

Ukiwa na dhambi sana basi roho yako itatoka huku ukiumia sana na maumivu yasio na kiasi.

Ukiwa mtenda mema basi roho yako itatoka taratibu, mara nyingi utakuwa kama unajisikia kulala kumbe ndio kila kiungo cha mwili kina shutdown mpaka kiungo cha mwisho ambacho ni Ubongo.

Nayaandika haya baada ya kutafakari sana mwisho wa maisha utakuawaje..

Nawasilisha kwa sauti kuu na feeling za mpepee.
umetafakari sana
Salaam.

Kwangu mimi nahisi roho ikiacha mwili basi inakutana na kiza kinene na ukimya wa maisha, nafsi na roho yako itakuwepo na inaweza kufika mbali sana, mfano inaweza kufika sayari ya Pluto na kurudi ndani ya sekunde 30.

Kama una uwezo wa kukaa vizuri au kuishi vizuri hapa Duniani basi wakati ni wako ishi unavyotaka maana hakuna maisha mengine zaidi ya hapa Duniani.

Hakikisha vizazi vyako unaviachia Mali za kutosha, na wosia wa kumtukuza Mungu, Maana baada ya hapo unaenda kukutama na Giza nene na ukimya wa maisha.

Ukiwa na dhambi sana basi roho yako itatoka huku ukiumia sana na maumivu yasio na kiasi.

Ukiwa mtenda mema basi roho yako itatoka taratibu, mara nyingi utakuwa kama unajisikia kulala kumbe ndio kila kiungo cha mwili kina shutdown mpaka kiungo cha mwisho ambacho ni Ubongo.

Nayaandika haya baada ya kutafakari sana mwisho wa maisha utakuawaje..

Nawasilisha kwa sauti kuu na feeling za mpepee.
Aisee umeenda deep sana
Maisha haya unatakiwa uwe na ufahamu kama wa mtoto tu, hawanaga baya hawa
Na siku unaondoka utaondoka smoothly
 
Salaam.

Kwangu mimi nahisi roho ikiacha mwili basi inakutana na kiza kinene na ukimya wa maisha, nafsi na roho yako itakuwepo na inaweza kufika mbali sana, mfano inaweza kufika sayari ya Pluto na kurudi ndani ya sekunde 30.

Kama una uwezo wa kukaa vizuri au kuishi vizuri hapa Duniani basi wakati ni wako ishi unavyotaka maana hakuna maisha mengine zaidi ya hapa Duniani.

Hakikisha vizazi vyako unaviachia Mali za kutosha, na wosia wa kumtukuza Mungu, Maana baada ya hapo unaenda kukutama na Giza nene na ukimya wa maisha.

Ukiwa na dhambi sana basi roho yako itatoka huku ukiumia sana na maumivu yasio na kiasi.

Ukiwa mtenda mema basi roho yako itatoka taratibu, mara nyingi utakuwa kama unajisikia kulala kumbe ndio kila kiungo cha mwili kina shutdown mpaka kiungo cha mwisho ambacho ni Ubongo.

Nayaandika haya baada ya kutafakari sana mwisho wa maisha utakuawaje..

Nawasilisha kwa sauti kuu na feeling za mpepee.
Jiandae kwa maisha baada ya haya ya mpito.
 
Salaam.

Kwangu mimi nahisi roho ikiacha mwili basi inakutana na kiza kinene na ukimya wa maisha, nafsi na roho yako itakuwepo na inaweza kufika mbali sana, mfano inaweza kufika sayari ya Pluto na kurudi ndani ya sekunde 30.

Kama una uwezo wa kukaa vizuri au kuishi vizuri hapa Duniani basi wakati ni wako ishi unavyotaka maana hakuna maisha mengine zaidi ya hapa Duniani.

Hakikisha vizazi vyako unaviachia Mali za kutosha, na wosia wa kumtukuza Mungu, Maana baada ya hapo unaenda kukutama na Giza nene na ukimya wa maisha.

Ukiwa na dhambi sana basi roho yako itatoka huku ukiumia sana na maumivu yasio na kiasi.

Ukiwa mtenda mema basi roho yako itatoka taratibu, mara nyingi utakuwa kama unajisikia kulala kumbe ndio kila kiungo cha mwili kina shutdown mpaka kiungo cha mwisho ambacho ni Ubongo.

Nayaandika haya baada ya kutafakari sana mwisho wa maisha utakuawaje..

Nawasilisha kwa sauti kuu na feeling za mpepee.
Huu uzi wako una logical Contradictions.

Huwezi kusema kuna roho, Halafu hapohapo useme hakuna maisha mengine baada ya haya ya duniani.

Kama hakuna maisha mengine baada ya haya ya duniani , Vivyo hivyo hakuna roho, dhambi wala Mungu.
 
Huu uzi wako una logical Contradictions.

Huwezi kusema kuna roho, Halafu hapohapo useme hakuna maisha mengine baada ya haya ya duniani.

Kama hakuna maisha mengine baada ya haya ya duniani , Vivyo hivyo hakuna roho, dhambi wala Mungu.
Ebu jaribu kutengeneza uzi wako ambao hauna logical contradictions.... Hayo ni mawazo na falsafa zangu.
 
Back
Top Bottom