Life expectancy kwenye nchi zetu

mhogoz

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2021
Posts
739
Reaction score
1,195
Ukichunguza kwa makini nchi nyingi zilizopo kusini mwa Sahara umri wa kuishi upo kwenye range ya kuanzia 62-67 kwa wenzetu wa ulaya wastani wao ni miaka 77 na kuendelea.hata zile nchi za kaskanini mwa Africa wao Wana wastani mzuri zaidi compared na mataifa ya watu weusi.sijui tunakwama wapi wakuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…