Life expectancy

Krb sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
 
Haya ni Moja ya maswali tatanishi sana yakufikirisha..
Hayanaga Majibu
Kwasabab ili upate majibu lazima upate kujua kwanza kwann umeletwa hapa duniani na je aliyeamua uwepo/uje ni ww kwa ridhaa yako au umejikuta tu upo
Kama umejikutaa tu upo bas tambua kuwa huna control yoyote ya kuamua hatima yako mana hata kusudi la ww kuja duniani hulijui na wala hukuhusishwa..

Maswali mengine ni kama je nan aliamua niwe ke au me,
Nizaliwe Afrika badala ya Ulaya au pengnepo
Niwe mrefu au mfup
Mweupe au Mweusi
Nizaliwe na wazaz maskin au tajir
N.k, n.k, n.k
 
Karibu sana JamiiForums...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…