Life experiences


Kweli Mtanzania halisi. Hauna ndugu pale Tume yao iliyomtangaza umuzimue pia?
 

Pole sana my dear
kwa kuindokewa na baba mwaka2009
hata mimi niliondokewa na baba mwaka huo
Mwezi wa tisa..
 
Pole sana my dear
kwa kuindokewa na baba mwaka2009
hata mimi niliondokewa na baba mwaka huo
Mwezi wa tisa..
Asante sana Dada.
Death is the law of life.
Mine passed away in June.
I was very lucky to be with him during his last days and hours.
We all belong to God and to Him we'll return.
 
Ni January 21 this year, nilipoona jeneza lenye mwili wa mchumba wangu linashushwa kaburini. AAh, sitaki kukumbuka, napita tuu!

Pole sana Mestod. Yote ni matakwa ya Mungu.
Mungu Amlaze Mahali Pema - Amen!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…