Life is not fair aisee! Malipo ya show moja ya Diamond ni sawa na ya show 5 za Alikiba ktk Fiesta

[emoji23][emoji23][emoji23] mzee Sizonje ndio maana hatakagi kizungu anajua hauwezi kumaliza sentensi bila kuleta maajabu hakika "Life is not fear"
Pambana mdogo wangu na wewe anagalau upate hizo 2M kwenye kazi zako ili urudi kwa Ras Simba na sasa ivi ana punguzo la bei.
 
What are probrem hear?! Life is not fear maana yake maisha si woga. Diamond amefanikiwa kwa sababu hakuwa mwoga - hakujali alikotokea wala hakujali kingereza. Arirara mbere na vikwazo, yaani, ali-overcome fear and now he is leaving big life.

Punguza munkari NANDERA
What are probrem hear...?
Arirara mbere...?
Elimu....Elimu....Elimu.
 
Nyinyi mnaong'ang'ana kuhusu english mnalazimisha mtoa mada aseme fair wakati yeye anamaanisha fear?? Halafu kwa taarifa yenu naskia show za Diamond hapa Tanzania zinafikaga hadi million 100 na nje analipwa karibu billion. You have to live with the bitter truth you haters.
 
Huyo Kiba kinachomweka ktk game mpaka sasa ni huruma tu ya mashabiki zake....
 
Diamond anachukua zaidi ya milioni 20 kwa show moja lakini kibakuli katika zile show za vumbi havuti zaidi ya millioni 2 kwa show 1.

Life is not fear aisee....
Dogo wa primary one hapa jirani kashaanza kujua kuandika hayo maneno madogo madogo ila mtu mzima unashindwa !!!
Kweli life is not fear... [emoji134][emoji134][emoji134]Kwakweli
 
Kweli life is not fear..kiba analipwa milion 2 kwa usiku mmoja? Wakat Mimi ni salary yangu ya miezi mitatu na msoto wa shule juu
 
Vodacom wamekataa kumuongezea domo mkataba..wamemwambia akauze karanga thamani ya vodacom ni kubwa hutakiwi utangaze bidhaa dhaifu1.4 bilioni miaka 2..tetesi kwenye korido za Vodacom Ali K anachukua kandarasi ya 2 bilioni muda wowote kuanzia sasa
 
JAMANI KIINGEREZA KILISHATUSHINDA KWANINI TUNALAZIMISHA. Life is not fear ndio nini? Na usifananishe SHOW ya mafungu mikoani na hizi show za KIBABE za mtu mmoja.wale wapo kumi na ushee

We learn through mistakes, I'm sure the guy won't do the same mistake again.
 
Diamond anachukua zaidi ya milioni 20 kwa show moja lakini kibakuli katika zile show za vumbi havuti zaidi ya millioni 2 kwa show 1.

Life is not fear aisee....

nyie ndo sababu ya magufuli kusema hapa kazi tu
 
Hivi Team mondi mkisiaga neno...

Yooh...huwa mnapata shida sana miilini mwenu.???
 
Mleta uzi alitaka kumanisha nini ? Yaani show moja ya diamond wap na lini ? Kwani kiba hajawahi kufanya show nje ya fiesta ? Na je aliingiza sh ngap ?
 
Diamond anachukua zaidi ya milioni 20 kwa show moja lakini kibakuli katika zile show za vumbi havuti zaidi ya millioni 2 kwa show 1.

Life is not fear aisee....
2x5=20?,,wew urudie chekechekea
 
Diamond anachukua zaidi ya milioni 20 kwa show moja lakini kibakuli katika zile show za vumbi havuti zaidi ya millioni 2 kwa show 1.

Life is not fear aisee....
pambana na hali yako mkuu
 
Shoo moja ya diamond si chini ya 100 million...hzo million 20 ilikuwa mwaka juzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…