NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
Naomba kuuliza maswali haya kwa wenye uzoefu wa magari.
1.Tyre ukiichukua mpya ukaifunga ukaitembelea au hata upaki gari yako uani inatakiwa idumu miaka mingapi ndio ubadili?Hata kama kashata zipo
2.Kuna aina nyingi za matairi mfano Yokohama,Michelin,Firestone,Bridgrstone,General tyre,Trentyre na mengine mnayojua je ni yapi bora zaidi?
Nawasilisha kwa faida yangu na wote wajuzi ingieni hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
1.Tyre ukiichukua mpya ukaifunga ukaitembelea au hata upaki gari yako uani inatakiwa idumu miaka mingapi ndio ubadili?Hata kama kashata zipo
2.Kuna aina nyingi za matairi mfano Yokohama,Michelin,Firestone,Bridgrstone,General tyre,Trentyre na mengine mnayojua je ni yapi bora zaidi?
Nawasilisha kwa faida yangu na wote wajuzi ingieni hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app