NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
Ahsante ngoja wengine wajeKawaida "LIFE SPAN" ya tairi inahesabiwa kwa KILOMETA (KM) mkuu, si kwa miaka. Na tairi inategema na "QUALITY" ya watengenezaji, kuna watengenezaji wa tairi za quality ndogo na quality za juu (ndio maana hata bei huwa zinatofautiana kutokana na quality).
Huo ndio ufahamu wangu mkuu.
Lifespan ni miaka 4! Na inaweza ika expire hata kama hujaitumia.... ukitaka kununua angalia tyre utakuta limeandikwa mwaka wa kutengenezwa. Ikifika miaka 4 inakua ndio mwisho wa matumizi hata kama hujaitumia (ina expire)Naomba kuuliza maswali haya kwa wenye uzoefu wa magari.
1.Tyre ukiichukua mpya ukaifunga ukaitembelea au hata upaki gari yako uani inatakiwa idumu miaka mingapi ndio ubadili?Hata kama kashata zipo
2.Kuna aina nyingi za matairi mfano Yokohama,Michelin,Firestone,Bridgrstone,General tyre,Trentyre na mengine mnayojua je ni yapi bora zaidi?
Nawasilisha kwa faida yangu na wote wajuzi ingieni hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo sahihi mkuu. Ubora wa tairi haupimwi kwa kilometers. Tairi nyingi Miaka haitakiwi kuzidi minne tangu siku ya kutengenezwa ila nadhani Kuna baadhi zinasogea mbele kidogo.Kawaida "LIFE SPAN" ya tairi inahesabiwa kwa KILOMETA (KM) mkuu, si kwa miaka. Na tairi inategema na "QUALITY" ya watengenezaji, kuna watengenezaji wa tairi za quality ndogo na quality za juu (ndio maana hata bei huwa zinatofautiana kutokana na quality).
Huo ndio ufahamu wangu mkuu.
Kuna tyre huwa hazina noma kama BF life span yake ni miaka 6 ila huwa inasogea mpaka miaka 8 bila kuleta mushkeli yoyoteSiyo sahihi mkuu. Ubora wa tairi haupimwi kwa kilometers. Tairi nyingi Miaka haitakiwi kuzidi minne tangu siku ya kutengenezwa ila nadhani Kuna baadhi zinasogea mbele kidogo.
Tairi inaweza ikawa dukani ukaiona ni Mpya kumbe tayari imeisha mida wake wa matumizi. Tairi zote huandikwa mwezi na mwaka lililotengenezwa. Ukikagua tairi utakuta limeandikwa tarakimu nne mfano 0912 hapo utajua limetengenezwa wiki ya tisa Mwaka 2012. Ko ukijumlisha Miaka minne mbele mwisho wake ni 2016. Na unaweza ukalikuta dukani jipya Mwaka huu 2020 ukaingia chaka.
Mleta mada hili ndio jibu sahihiLifespan ni miaka 4! Na inaweza ika expire hata kama hujaitumia.... ukitaka kununua angalia tyre utakuta limeandikwa mwaka wa kutengenezwa. Ikifika miaka 4 inakua ndio mwisho wa matumizi hata kama hujaitumia (ina expire)
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba ufafanuzi zaidiLifespan ni miaka 4! Na inaweza ika expire hata kama hujaitumia.... ukitaka kununua angalia tyre utakuta limeandikwa mwaka wa kutengenezwa. Ikifika miaka 4 inakua ndio mwisho wa matumizi hata kama hujaitumia (ina expire)
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi sana, ingawa ninavyofahamu life span ya tairi ni miaka mitano badala ya minneSiyo sahihi mkuu. Ubora wa tairi haupimwi kwa kilometers. Tairi nyingi Miaka haitakiwi kuzidi minne tangu siku ya kutengenezwa ila nadhani Kuna baadhi zinasogea mbele kidogo.
Tairi inaweza ikawa dukani ukaiona ni Mpya kumbe tayari imeisha mida wake wa matumizi. Tairi zote huandikwa mwezi na mwaka lililotengenezwa. Ukikagua tairi utakuta limeandikwa tarakimu nne mfano 0912 hapo utajua limetengenezwa wiki ya tisa Mwaka 2012. Ko ukijumlisha Miaka minne mbele mwisho wake ni 2016. Na unaweza ukalikuta dukani jipya Mwaka huu 2020 ukaingia chaka.
Naomba ufafanuzi zaidi
Set kamili 1,440,000/= size 18.
Sio BongoLifespan ni miaka 4! Na inaweza ika expire hata kama hujaitumia.... ukitaka kununua angalia tyre utakuta limeandikwa mwaka wa kutengenezwa. Ikifika miaka 4 inakua ndio mwisho wa matumizi hata kama hujaitumia (ina expire)
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli. Tairi huwa inapimwa ubora wake kulingana na muda imekaa tokea kutengenezwa. Nadhani ni miaka mitano kama sio minne.Kawaida "LIFE SPAN" ya tairi inahesabiwa kwa KILOMETA (KM) mkuu, si kwa miaka. Na tairi inategema na "QUALITY" ya watengenezaji, kuna watengenezaji wa tairi za quality ndogo na quality za juu (ndio maana hata bei huwa zinatofautiana kutokana na quality).
Huo ndio ufahamu wangu mkuu.
Correct..... Upo sahihi kabisaLifespan ni miaka 4! Na inaweza ika expire hata kama hujaitumia.... ukitaka kununua angalia tyre utakuta limeandikwa mwaka wa kutengenezwa. Ikifika miaka 4 inakua ndio mwisho wa matumizi hata kama hujaitumia (ina expire)
Sent using Jamii Forums mobile app