Lifespan ya bati za kuezeka majumbani ni miaka mingapi?

Lifespan ya bati za kuezeka majumbani ni miaka mingapi?

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Wakuu kwanza je hizi bati za kizalendo za kuezekea majumbani zina-expire?

na kama jibu ni ndio, Je zina-expire baada ya miaka mingapi?
 
Wakuu kwanza je hizi bati za kizalendo za kuezekea majumbani zina-expire?

na kama jibu ni ndio, Je zina-dxpire baada ya miaka mingapi?
Hakuna kitu kisicho expire..Bati lina expire haraka au taratibu Sababu.
1..Ubora
2.Mazingira.
Hivyo vitu ndo vitaamua Bati lako likae muda gani
 
Back
Top Bottom