Wadau,
Hivi karibuni ofisini kwetu ameingia mdada mmoja hivi ambae nlikuja kugundua anakaa karibu Na home.
Nimekua nikimpita kwenye kituo cha daladala na mwishowe anakuja ofisini akiwa amechelewa.
After few weeks toka aingie pale job nikaamua kua namsaidia lift daily.
Sasa my girlfriend amegundua na anatishia kuvunja mahusiano,
Please Help!!
Hahahaa, alipewa beg part huyo. Si ajabu hata chakula ya baba siku hiyo alinyimwa.
Mmmh... Ukiona hivyo ujue gf wako anawasiwasi hasa kama huyo mfanyakazi analipa kuliko yeye lazima kiroho kimdunde dada wa watu kwa kuhisi soon ataibiwa mali yake.... Hahahaaa...Hebu usimkoseshe raha your gf, achana na kumpa lift huyo mfanyakazi mwenzio...!
yan we acha neylu, hiko ndo kilichontokea mie. nikanyimwa lifti hivi hivi. duh inabidi ninunue hata kibajaj lol. . . .
Anao kwa mbali sana, mpaka aone nimempa lift kwa miaka 3 hivi ndo wivu unamwingia.......
Maana tajiuliza miaka mi 3 yote hajapata hata kabajaj cha kummuvuzisha job?.....
daaah huyo safi sana...... wengine mpaka anastaafu hata baiskel hakuna kwa hiyo unapiga tu
Huyo rafiki yako naye ana roho mbaya kweli! Au pengine labda ni kutojiamini tu! Sasa watu ni majirani na mnafanya kazi sehemu mmoja, unaanzaje kumnyima lift kisa jinsia yake tu?
Ahsante sana, angalau uko upande wangu!!
Mimi nakaa Sinza Vatican, nae anakaa Sinza white-inn.
Ofisini ni Kurasini ambapo kwa daladala inabidi upande daladala mbili kama wapitia Kariakoo, au tatu kupitia posta.
Tena kwa njia ya kariakoo ukishuka kituo cha kwanza kuna umbali mrefu mpaka mabasi ya kituo cha pili yanapoanzia.
Mimi kumpa lift hainiongezei gharama za mfuta, sanasana inanipunguzia upweke garini.
Sasa wifi/shemeji yenu anadai kama nampenda huyo workmate niseme
Kwani ukiwakutanisha kuna nini?
huyo anaepewa lift anakutega?
kama ni lazima sana kumsaidia mlipie nauli mkuu,otherwise yeye ni wakupita tu...unless upo na interest naye kaka...
My Girlfriend Sikai nae, but juzi kati alikuja akambonji kwangu, then asubuhi akaona call from workmate ikinitaarifu kua ashafika kituoni.
Ye hataki kukutana nae, bali nsitoe lift au tuachane!!
My Girlfriend Sikai nae, but juzi kati alikuja akambonji kwangu, then asubuhi akaona call from workmate ikinitaarifu kua ashafika kituoni.
Ye hataki kukutana nae, bali nsitoe lift au tuachane!!