44mg44
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 2,158
- 2,186
Mwanga (According to wave particle duality) Huwa umebeba particles in form of photons na sometime Huwa znakuwa in wave form.
Kutokana na kwamba photons Huwa zko in motion all the time ndo inakuwa ngum kupima mass ya mwanga, nazan hii sifa ndo iliwafanya wanasayansi washindwe kuuweka mwanga kwenye aina za mada
Mimi nawashauri wanasayansi wabadirishe definition ya what is matter harafu then mwanga uingie kwenye aina za mada.
Yaan kuwe na aina Tano za mada ambazo ni:
1. Solid eg stone,house ice
2. Liquid eg water
3. Gas eg Nitrogen
4. Plazma eg liquid heated at high temperature
5. Light eg red, yellow, blue ECT
Mwanafunzi akifundishwa hivyo itakuwa rahisi sana kuuelewa mwanga kuliko ilivyo Sasa. Maana saiz kusema ukweli wanafunz wanamakiza hata chuo kikuu lakini cha kushangazaga ukimuuliza kuhusu mwanga hatoi majibu ya kuridhisha.
Karibu Kwa maoni wadau wa elimu hasa hasa Sayansi
Kutokana na kwamba photons Huwa zko in motion all the time ndo inakuwa ngum kupima mass ya mwanga, nazan hii sifa ndo iliwafanya wanasayansi washindwe kuuweka mwanga kwenye aina za mada
Mimi nawashauri wanasayansi wabadirishe definition ya what is matter harafu then mwanga uingie kwenye aina za mada.
Yaan kuwe na aina Tano za mada ambazo ni:
1. Solid eg stone,house ice
2. Liquid eg water
3. Gas eg Nitrogen
4. Plazma eg liquid heated at high temperature
5. Light eg red, yellow, blue ECT
Mwanafunzi akifundishwa hivyo itakuwa rahisi sana kuuelewa mwanga kuliko ilivyo Sasa. Maana saiz kusema ukweli wanafunz wanamakiza hata chuo kikuu lakini cha kushangazaga ukimuuliza kuhusu mwanga hatoi majibu ya kuridhisha.
Karibu Kwa maoni wadau wa elimu hasa hasa Sayansi