NGANU huyu naye anapenda hali hiii.... nmemwambia basi aaamke hataki. basi ndo hivyo nmeendelea kumpaka huku tunataka kusikiliza mpira hiyo TBC INASHIKA channel gan kwnye FM? frequency zake ni ngapi?
Mbona jamii ya mikia fc siioni humu!!!
Mahundi....humud..obina...swedi anaachia paleee mapunda anaunyaka