hhahahahaaa!Yule mzee wa hovyo sana
singida mnazingua
Ameitwa kwa RC MkuuHuyu mleta uzi nae haleti updates. Ngapi ngapi mpaka sasa wakuu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ameitwa kwa RC Mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimeona na yule dada Joyce Kiria nae kaenda. Usi shangae mkisikia anasema ametelekezwa na Rais Donald Trump [emoji23]Ha ha haaa kwenda kukabidhiwa majukumu!
Wanahofia majeruhi, watacheza Azam Federation Cup siku kumi zijazo, ambalo ni muhimu zaidi kwao kuliko mechi za VPL zilizobaki kwani hawana nafasi ya ubingwa hukusingida wanacheza km wana mgomo
EPL muhimu ukipigwapigwa unashuka darajaWanahofia majeruhi, watacheza Azam Federation Cup siku kumi zijazo, ambalo ni muhimu zaidi kwao kuliko mechi za VPL zilizobaki kwani hawana nafasi ya ubingwa huku
Inshallah!FT 3-1 YANGA 3 - Singutd 1
Singida position aliyopo hashuki daraja wala hashiki namba mbili, achia mbali ubingwa. Lakini kule kwenye Azam Federation Cup akiizifunga timu mbili tu anaiwakilisha nchi kwenye kombe la shirikisho. Sasa unadhani wapi ataelekeza macho?EPL muhimu ukipigwapigwa unashuka daraja
Mpira umeisha??FT: YANGA 1 SINGIDA 1
Haujaisha, ila anabashiri hivyo, au anapenda iwe hivyo labdaMpira umeisha??