Ligi Kuu Bara: Klabu ya Yanga imeshindwa kung'ara mbele ya Klabu Singida Utd baada ya kutoka sare ya goli 1-1

Lwandamina amefanya vibaya sana kuondoka kimya kimya bila kuaga. Hata kama atarudi kumalizia siku zilizobaki za mkataba wake, lakini halikuwa jambo la kiungwana kwa kocha kuondoka na kuzima simu, maana hata morali ya wachezaji inapungua
 
Hawa Singida wamejua kunifuta kilio changu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Halafu sikuhizi wameanza kuwa na ile tabia ya Mbao FC [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hawa Singida wamejua kunifuta kilio changu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Halafu sikuhizi wameanza kuwa na ile tabia ya Mbao FC [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Yaani acha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…