julius junior
Member
- May 22, 2014
- 97
- 35
sasa wewe na yeye nani kaanza kushabikia mpira akiwa na ndevu!, au Azam ikianzishwa we ulikua unanyonyaNdo matatizo ya kushabikia mpira mkiwa mmeota ndevu tayari,hivi Yanga aliingia uwanjani kwa nia ya kufungwa? Na umetumia darubini gani/ramli ipi kujua mimi shabiki wa Simba? Sababu Sijawahi ipenda Yanga wala Simba...nilivutiwa na namna Azam FC walivyo kuanzia uongozi mpaka wachezaji na toka inaanza nipo nao ila kabla ya hapo mi ni Die hard fan wa Vijogoo vya Anfield.
niliposikia Kipre ameondoka nilijua wqtakuwa na wakati ngumu jamaa anajua sana na anauwezo Wa kulazimisha goli...
Tatizo umelala kwenye reli huku treni ya kwenda pugu ikipiga honi..huyo nilimjibu hivyo sababu kasema Azam tukumbuke tulikuwa nyumbani ndomana nikamwambia labda hajui mpira haujui sababu hauna nyumbani wala ugenini kila mtu anatafuta ushindi na unaweza pigwa sehemu yoyote iwe kwako au ugenini na mtu ambaye anafahamu/anajua mpira hawezi zungumza kauli kama yake ya kusema tulikuwa nyumbani..sasa wewe na yeye nani kaanza kushabikia mpira akiwa na ndevu!, au Azam ikianzishwa we ulikua unanyonya
Ubingwa mtaendelea kuusikia hivohivo, mabingwa wametulia...fukuzeni upepo kama kawaida yenu wazuu wa matopeni wakwamua mabasi
Hivi huyu mchezaji anamfanya nini huyu mwenzake aliyebebwa na mzee was magoli ya mkono? [emoji2] [emoji2]
View attachment 419181
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Ndiyo Kawaida Yao Hao Kukamata Magoti Salome Wa Stand United..
😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Hahahahahahaaaa nimeona avatar yko pia ww ni mpizani wangu ulaya imekaa vzuri tuonane kesho ucku ww jogoooKama Droo Za Kabati Basi Huwa Tunafungua Baada Ya Kila Mechi Kuhifadhi Points Zetu.. Wewe Endelea Kuweweseka Wakati Mimi Hapa Naangalia Namna Gani Nijiandae Kusherehekea Ubingwa..
Mkuu kwenye soka la kisasa mpira ni magoli , yale mambo ya chenga twawala ndio yaliyoigharimu KMKM ya unguja , kuna uzi niliuweka humu unazungumzia hii habari ya Azam , zimo hoja mle ndani , utafute uusome , Kuanza upya sio ujinga .Kutimua Wachezaji Wote Sio Suluhisho wala Si Katika Kujenga Timu! Kama Ni Mfatiliaji Mzuri Wa Mechi Za Azam Basi Utanikubali Kuwa Timu inayoongoza na Kutamba na inayojua Kupress Soccer hapa TZ ni Azam! Mimi ingawa ni Mnazi wa Simba Basi Naikubali Sana Azama Katika Kucheza na Kumiliki Mpira..
Point ya Hayo Niliyoyasema ni Kwamba Azam ni Timu Yenye Wachezaji Wazuri kwa Hapa Tanzania! ila Tatizo lao ni Moja tu.. Hawana Stricker Mbadala Wa John Boko...
Suluhisho la Azam si Kufukuza Wachezaji! Bali Ni Kusaini Stricker Ambaye atakuwa Mmalizaji wa Uhakika Kwani Ukiangalia Mechi Ya Leo Azam Wamepoteza Nafasi Za Wazi Kwa Kushindwa Umaliziaji tu..
Hahahahahahaaaa nimeona avatar yko pia ww ni mpizani wangu ulaya imekaa vzuri tuonane kesho ucku ww jogooo
Mkuu kwenye soka la kisasa mpira ni magoli , yale mambo ya chenga twawala ndio yaliyoigharimu KMKM ya unguja , kuna uzi niliuweka humu unazungumzia hii habari ya Azam , zimo hoja mke ndani , utafute uusome , Kuanza upya sio ujinga .
[emoji4]Yanga 2 Azam 0
Msuva, Ngoma
Sijawahi kutabiri uongo
Nimekupata tutakutanaZipo Thread Zetu 2 Maalum Humu JF Za Mimi Na Wewe Kukutana Kwa Ajili Ya Tomorrow Night Na sio Hapa..
Wana makombe #26 ya LigiKuu wewe una kombe #1....Hawa vyura tumewakosa hapa...
Vipi Hujaishia ICU lakini baada ya Mechi Kumalizika? Manake inaonesha Baada Ya Kukodisha Timu, Sasa Mpaka Ushindi Munakodisha...
Sema wote wabovu mkuu
Mechi ikiisha hivi ina maana game 8 point 15. Huku ile Mipaka game 9 point 23. Gap la Point 8 kubwa sana.
Baba zake nani?Wana makombe #26 ya LigiKuu wewe una kombe #1....
Kuwa na adabu.... Yanga baba zako!
Baba zake nani?