Alafu nasikia gari zipatazo 15 zimeingia nchini.. Gari hizo zitawahusu wachezaji wengine wanaoonesha utendaji uliotukuka.Sisi hatununui mechi ...tunanunua magar ya wachezaj
MKUU mie nishanunua suti[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbeleko FC naona Style Ya Kukodisha Timu Kama Chumba Cha Gesti imewadhuru... Mwaka Huu Sina Hasa Sababu Ya Kutafuta Suti Moja Kali Sana Kwa Ajili Ya Kusherehekea Ubingwa Ndani Ya Msimbazi Kwani Simba Hakuna Wa Kuizuia..
Asanteni sana 'ndugu zetu' Azam.
Azam fc ndio wapo nyumbani kumbukaYanga mpira hamna kabisa,Azam FC tumetakata..HT Yanga FC macho kodo Azam FC 0
Acha uzushi mbona hatuoni refa akimpanua miguu Azam
We mpira umeacha kushabikia mwaka gani? Ndomana ukaambiwa mpiraunadunda hauna nyumbani wala ugenini..unapigwa tu ukipokonyoka sare kama hivi..Azam fc ndio wapo nyumbani kumbuka
Mbeleko FC naona Style Ya Kukodisha Timu Kama Chumba Cha Gesti imewadhuru... Mwaka Huu Sina Hasa Sababu Ya Kutafuta Suti Moja Kali Sana Kwa Ajili Ya Kusherehekea Ubingwa Ndani Ya Msimbazi Kwani Simba Hakuna Wa Kuizuia..
Ww ndio ujui mpira alie nyumbani akipata droo kwake ni aibu fungua macho shabiki wa simba uliehamia azam kwa muda.We mpira umeacha kushabikia mwaka gani? Ndomana ukaambiwa mpiraunadunda hauna nyumbani wala ugenini..unapigwa tu ukipokonyoka sare kama hivi..
Too late huu ni mpira wa soka unadunda tunaweza kupigwa hat game tatu raundi ya kwanza ila ya pili mkaanza kufungua madroo yenu cye hatuna shida cuz ndyo wawakilishi wenu wa michezo ya kimataifa mwakani nanyi mnajaribu kupigania kwa miaka mingi ss karibuni
Moto usiozimikaTatizo sio kuwa timu ni mbovu, yanga bado wako ktk ubora wao na pia azam bado wapo ktk ubora wao, tatizo ni Simba Sc imekuja na kiwango toka sayari nyingine!
Kweli kabisa Mkuu.. Kumtegemea Boko pekee akupe ubingwa.. hili nalo ni tatizo.ππππππ ingawa Wametupa Faraja Hawa Azam Kwa Kumbana Mkodisho FC, Lakini iwapo Watasaini Foward Mzuri Wanaweza Kupata Nafasi Ya Pili Kwasababu Ya Kwanza Ni Yetu Simba.