SALOK
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 3,364
- 2,001
Wameanza rasmi kuitafuta namba 3 yao. All the best ninyi!
Na nyie mliozoea namba moja naona mmeshaishika, kama kawaida yenu mtuambie kabisaa mkishinda mechi ngapi vile inakuwa ndio basi tena. [emoji12][emoji12]
Halafu kile kiapo chenu bado kinaishi? Eti "mbele daima, nyuma mwiko". Mmh hapo mmedanganya, si mseme tu makalio maana nijuavyo mimi mwiko unatumika jikoniii.
BTW; _Ni uchokozi tu jamani wala sio shabiki wao mimi.
Na nyie mliozoea namba moja naona mmeshaishika, kama kawaida yenu mtuambie kabisaa mkishinda mechi ngapi vile inakuwa ndio basi tena. [emoji12][emoji12]
Halafu kile kiapo chenu bado kinaishi? Eti "mbele daima, nyuma mwiko". Mmh hapo mmedanganya, si mseme tu makalio maana nijuavyo mimi mwiko unatumika jikoniii.
BTW; _Ni uchokozi tu jamani wala sio shabiki wao mimi.