Ligi kuu bara, rasmi sasa kila mmoja katika nafasi yake

Ligi kuu bara, rasmi sasa kila mmoja katika nafasi yake

SALOK

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2011
Posts
3,364
Reaction score
2,001
Wameanza rasmi kuitafuta namba 3 yao. All the best ninyi!

Na nyie mliozoea namba moja naona mmeshaishika, kama kawaida yenu mtuambie kabisaa mkishinda mechi ngapi vile inakuwa ndio basi tena. [emoji12][emoji12]

Halafu kile kiapo chenu bado kinaishi? Eti "mbele daima, nyuma mwiko". Mmh hapo mmedanganya, si mseme tu makalio maana nijuavyo mimi mwiko unatumika jikoniii.

BTW; _Ni uchokozi tu jamani wala sio shabiki wao mimi.
 
Simba kama Arsenal tu!
Misimu mingi sana anaanza kwa nguvu ya soda.. ila pumzi huwa inakata wanapokaribia utepe..!
 
Simba mwaka huu lazima achukue ubingwa. Ile ndoa ya Malinzi na Yanga iliyokuwa inawasaidia kuchukua ubingwa ilishaisha tangu waliporuhusu watu waingie bure katika mechi ya TP Mazembe na zaidi bosi wenu Manji keshaishiwa nandaiwa pango na kodi.
 
Simba mwaka huu lazima achukue ubingwa. Ile ndoa ya Malinzi na Yanga iliyokuwa inawasaidia kuchukua ubingwa ilishaisha tangu waliporuhusu watu waingie bure katika mechi ya TP Mazembe na zaidi bosi wenu Manji keshaishiwa nandaiwa pango na kodi.
Labda mkaliibe hilo kombe,ndio njia pekee ya kulipata.
 
Muda utasema.
yule mkata umeme mtamwita mkata majani.
Nyinyi ndio mlikuwa ndotoni,lakini sisi tunaishi ktk uhalisia,ligi ilikuwa na mechi za mzunguuko wa kwanza mlishaanza kelele za ubingwa.
 
Simba mwaka huu lazima achukue ubingwa. Ile ndoa ya Malinzi na Yanga iliyokuwa inawasaidia kuchukua ubingwa ilishaisha tangu waliporuhusu watu waingie bure katika mechi ya TP Mazembe na zaidi bosi wenu Manji keshaishiwa nandaiwa pango na kodi.
Mdogomdogo tu!

Tulianza kufanyia kazi pengo la alama 8 tukazimaliza ndani ya mechi 6.

Sasa tuko kwenye usukani wetu.....

Tunaanza rasmi kazi ya kujenga pengo la alama 7 .....

Nina imani mpaka ligi inaisha nitabeba ndoo nikiwa nimekupiga gape la alama zisizozidi 5.

kwasasa kuna gape la alama moja....hii moja itatumika kukupa pressure ambayo itasaidia kukuweka katika mazingira magumu ya kumkimbiza wa juu yako...


endelea kuamini kuwa utakuwa bingwa wakati hujamalizana na vilabu vya mikoani huko..
 
Nafas mpw simba akulindie hata nguruwe asogei
 
Back
Top Bottom