Ligi Kuu Bara: Simba 2-2 KMC FC - Uwanja wa Mkapa, Sept 07 2022

Dakika ya 69'
Simba bado hsifanyi mashambulizi zaidi nsona KMC wakishambulia zaidi
 
Piga hizo kolo.. wanadhani mwaka huu watapita kwa mbeleko..
Jana tulivyotoa sare walituona kama mataira vile.. na hapo bado wakikutana na Azam watakula mkono
 
Kanoute anatoka wakati kibu anaingia
 
Kuna mtu Simba ameambiwa abane matumizi hawa wachezaji walionunuliwa wamafungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…