Ligi Kuu Bara | Simba SC 3-1 KMC FC | Uwanja wa Mkapa | Juni 19, 2022

Djuma shaban alicheza kaizer chiefs? Unafanyaje ulinganisho wa namna hiyo? Mazingira ya Djuma Shaban ni sawa sawa na aliyokutana nayo Kambole? Je Djuma Shaban angeweza kupata nafasi kwenye kikosi cha Kaizer Chiefs? Kuna vitu vingi vya kujiuliza zaidi
Sasa hayo maswali ungemuuliza aliyeleta habari za djuma
 
Na makolo mkiendelea kufanya usajili wa kina Akpan kutoka Nigeria ya Tanga,nafasi ya 4 kwenye msimamo wa ligi next season unawahusu

Acheni kupiga Ngenga nendeni mkafanye usajili wa maana
 
Na makolo mkiendelea kufanya usajili wa kina Akpan kutoka Nigeria ya Tanga,nafasi ya 4 kwenye msimamo wa ligi next season unawahusu
na nafasi ya 14 vilabu barani Afrika itawahusu pia
 
Huko barani Afrika na hao wana kina Akpan na kapama ndo zile tano tano zitarudi mahala pake
Ukiogopa tano tano za Afrika hutafika popote, utaishia kupokea wageni. Ni sawa na kijana anayeogopa kwenda shule eti kwa kuwa kuna mitihani, sawa atafanikiwa kuikwepa mitihani ila atalazimika kubaki nyumbani kuosha vyombo na kujifariji kwa kuangalia TV
 
Na ninachopenda kutoka kwenye timu yenu ni mtakula tano tano mpk mwisho wa dunia na hata nusu fainali Iwe ya klabu bingwa au shirikisho hamtaweza kuja kufika

Kwa kulitambua hilo ndo maana mmekuwa mnasajiri wanigeria kutoka Tanga
 
Na ninachopenda kutoka kwenye timu yenu ni mtakula tano tano mpk mwisho wa dunia na hata nusu fainali Iwe ya klabu bingwa au shirikisho hamtaweza kuja kufika

Kwa kulitambua hilo ndo maana mmekuwa mnasajiri wanigeria kutoka Tanga
Timu yako ilisajiri akina Balinya kutoka Uganda, Yikpe kutoka Gor Mahia, Sarpong wa Ghana kutoka Rwanda, akina Mayele, Djuma, Moloko, Bangala na Ushindi kutoka Congo, lakini nyakati zote haijawahi kuvuka raundi ya awali (sio ya kwanza, nasema ya awali). Sasa sijajua unapata wapi ujasiri wa kuielekeza timu ambayo makundi na robo fainali ni kitu cha kawaida. Wewe sajili hao lakini ujue ni wa kubaki nyumbani kuosha vyombo na kujifariji na TV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…