Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Hapa Simba wametuchokoza ngoja tuwapige nyingi.
 
Siwaoni jamaa zangu humu sijui wamepotelea wapi.
 
Mshabiki mwingine wa kandambili amezimia kule anabebwa kama mgonjwa wa Ebola. Anajamba jamba tu kama ametoka Mombasa leo.
Hapa uwanjani ni raha tupu, tunatiririka tu.
Yanga hana historia ya kusawazisha magoli ya Mnyama.
 
goli la offside , huyu refa sijui vipi tena

Usichanganye madawa, sio sisiemu hii! Ni mechi ya simba na Yanga, off side???? Unaangalia mechi gani? Ile ya tano au ya mbili bila? Bao safi kabisa hilo, inaitwa kuwa na vision ya hali ya juu au an eye for a goal!!
 
Dah! Ngoja nisubiri goli liwekwe youtube nihakikishe mwenyewe kama ni goli halali!

Hivi zile 5 zitarudi kweli kwenye kizazi chetu?
 
Okwi 1 Ndala ya chooni 0.
Yanga wamegeuka vijana wa kuokota mipira hata kama mpira umetoka nje ya lango la Simba.
Chupuchupu tena...gooooooooo wamekosa Simba
 
Usichanganye madawa, sio sisiemu hii! Ni mechi ya simba na Yanga, off side???? Unaangalia mechi gani? Ile ya tano au ya mbili bila? Bao safi kabisa hilo, inaitwa kuwa na vision ya hali ya juu au an eye for a goal!!

Unajifanya unajua sana mpira wakati ukiambiwa hata upige dana dana mbili huwexi, Goli la offside lile mkuu kaa kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…