Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Sisi ndio wafalme wa soka la uwanjani, wanunuaji wa mechi wanaonekana. Badala ya kuniandaa na mchezo wameng'ang'ana na kanuni mpya za TFF. Matokeo yake wanamkaba Ibrahim Ajib wamemsahau kidume chao The Tomentor E. Okwi.

kazi wanayo
 
YANGA FC n tmu bora Tanzania, usiangalie mechi kat yake na smba
 
Yanga lake jangwa la ukame, simba wazee wa porin sisi tunakula nyama tuu
 
Asante mnyama kwa kumpiga kimoko bebe wako
 

Ukizinduka kutoka kuzimu rudi huku utetee hoja yako. Wazee wa kuzimia nyinyi.
 
Nyie munafuhia kagoli kamoja! sisi lazima tubebe ndoo ya lingi, kwa taarifa yenu tu, hata top 5 hamutaingia.
 
Inauma Sana kuona kila tunapocheza na simba,tunafungwa Magoli ya kijinga!
Goli la leo kipa haileweki alikuwa anaenda wapi!?
Sasa atacheza nani? Maana alianza yeye kipindi kile Yanga waliongoza magoli matatu kipindi cha kwanza, kipindi cha pili yote yakarudi, Mustafa akaondolewa. Mtani jembe ya 2013 akaja Kaseja naye alipofungwa magoli matatu akaondolewa, akaaminiwa Munishi naye ilipofika mtani jembe 2014 akala yake mawili imani naye ikapotea na kuja kwa Mustafa tena, leo naye kale lake moja.
 
Nyie munafuhia kagoli kamoja! sisi lazima tubebe ndoo ya lingi, kwa taarifa yenu tu, hata top 5 hamutaingia.

Sawa ila hatujaanza leo kuwapakua na Azam pia ubingwa anaweza kupata na kwa ss vdume ukiwa na demu ukimtia kichwa tu basi hana ujanja
 
Kweli sikio la kufa halisikii dawa na siku ya kufa nyani mti yoteee huteleza........ Kikowapi kile Jerry Muro alichokuwa akikiongea kama msemaji wa Yanga??? ..... ni dhahiri kwamba alikuwa anabwabwaja na hajui anachokiongea kibaya zaidi hajui kwamba hajui ........ Yanga chaliiiiiiiiiiiiiii hongera sana MNYAMA
 

Yamepita hayo, tujadili sensitive issues .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…