Hahahahahaaaaa pole Mkuu.Hapo uliposema kileleni nimepata mfadhaiko...
HahahahaaaHapo uliposema kileleni nimepata mfadhaiko...
Weraaaaaaaa......Goaaaaaaaaaaaalllllllll
Yanga 2-0 Mwadui
Asante Chirwa
Nawe ni Yanga mpendwa? [emoji39]Gooooooooo
Hahahahaa wote sweetie tulikuwa na hali tete, mbona kafanya la maana. Wangekuja kukesha humu, kama wametufunga wao.Ungeniona nilivyoshika shavu ungetoa chozi la huruma.
Chirwa kayarudisha mapigo yangu ya moyo sawa.
RahaaaaaaHahahahahaaaaa pole Mkuu.
Camanda tuko kotekote[emoji12] [emoji12]Nawe ni Yanga mpendwa? [emoji39]
HahahahahaaaaaHakuna aliye zimia hapo uwanjani?
Yani hii weekend tamu jamani! Jana Simba kafungwa leo tumefunga...Hahahahaa wote sweetie tulikuwa na hali tete, mbona kafanya la maana. Wangekuja kukesha humu, kama wametufunga wao.