Ligi kuu kusimamishwa kupisha fiesta

Nas Mapesa

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
5,286
Reaction score
5,421
Wajumbe wa JF mna taarifa kuwa game ya Toto na Mwadui iliahirishwa kupisha shughuli za fiesta? Hahahha very interesting, kupitia redio pendwa efm nilimsikia Julio akihojiwa kuhusu kuahirishwa kwa mechi hiyo kisa fiesta.

Ratiba ilikua inaonesha game ingepigwa Jumamosi ambapo siku hiyo TFF walikua na zoezi lao muhimu la fiesta kwa kushirikiana na redio pendwa kwa mkulu, TFF wakaona aaah isiwe shida yaani tuache fiesta kisa mechi? Fiesta ikapigwa pale Kirumba na mechi ikapigwa jana Jumatano.
 
nan alikua wa kwanza kufanyia booking ya uwanja mind you uwanja ni wa ccm na wao ndio wenye mamlaka nayo
 
Yasingekuwepo hayo kama vilabu au TFF wangekuwa na viwanja vyao
 
Kwani Nini kimeharibika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…