Ligi kuu NBC kuanza Agosti 15, 2023 lakini hadi sasa ratiba haijatoka

Ligi kuu NBC kuanza Agosti 15, 2023 lakini hadi sasa ratiba haijatoka

Franky Samuel

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2018
Posts
5,195
Reaction score
13,785
Mauzauza ligi ya bongo bado siku 12 ligi ianze na mpaka sasa haijulikana ratiba inaanza na nani.
 
Wanasubiri ratiba ya CAF itoke ili waepukane na kubadili badili kila mara. Ila walau wangetoa ya mechi tatu za mwanzo
 
Back
Top Bottom