Ligi kuu NBC kuanza Agosti 15, 2023 lakini hadi sasa ratiba haijatoka

Franky Samuel

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2018
Posts
5,195
Reaction score
13,785
Mauzauza ligi ya bongo bado siku 12 ligi ianze na mpaka sasa haijulikana ratiba inaanza na nani.
 
Wanasubiri ratiba ya CAF itoke ili waepukane na kubadili badili kila mara. Ila walau wangetoa ya mechi tatu za mwanzo
 
Kwanza tutambue SI rahisi kuandaa ratiba ya msimu mzima hasa Kwa nchi kama hizi.
 
Kwanza tutambue SI rahisi kuandaa ratiba ya msimu mzima hasa Kwa nchi kama hizi.

Huwa wanacopy na kuipaste Ile Ile.

Kinachobadirika ni TAREHE na Timu zilizopanda Daraja

Miaka miwili yote yanga amemalizia LIGI mbeya.

Wanasubiri kalenda ya CAF.
kalenda ya FIFA.
Kalenda ya SUPER CUP.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…