Hahaha tulia mkuu,Dk ya 11 Azam 1 Yanga 0.. Chilunda anapewa kafi ya njano
Eeeeh mungu naona kifo chetu yanga Leo. Tuepushe na kikombe hiki mtaani hapatakalika vile wamatopeni watakavyotutania
Naweka 900 Azam anashindaNaweka laki tano anayetaka aje mezani, leo Yanga anashinda.
Tumerudisha na tunapiga mtuVyura FC mpooo?. Safari hii hakuna mbeleko kwa hisani ya Malinzi na Toto Afrika
Usije kukimbia mkuu. Na kwa mpira wako huu kwangu si ntakupiga nyingi.Tumerudisha na tunapiga mtu
Zimegeuka BUTIdah! maskini ndala zangu!