Ligi Kuu Soka Tanzania Bara (VPL): Azam FC yashindwa kung'ara nyumbani yabamizwa goli 2 -1 toka kwa Yanga SC

Vyura FC mpooo?. Safari hii hakuna mbeleko kwa hisani ya Malinzi na Toto Afrika
 
Azam fc kiboko ya wabovu wote Yanga na Simba...piga ndala hao
 
Nimejiuzulu kuishabikia Yanga kuunga mkono Juhudi za Azam kuchukua ubingwa.. Kila la kheri Azam FC
 
Hizo sasa sifa.. Kwa nini Yanga hawataki kwenda na wakati?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…