Ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2017/18, nani bingwa?

Iyegu

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2014
Posts
6,276
Reaction score
12,404
Ligi inakwenda kuanza hivi karibuni...
Unampa nani nafasi kubwa ya kuchukua ubingwa na kwanini?
 
Simba : Community Shield
yanga : LigiKuu tanzania Bara
 
kama kawa simba bingwa wa mabonanza yanga bingwa wa ligi
 
Lipuli bingwa

Sent from koromije using bashite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…