Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) | Mzunguko wa 8: Young Africans SC Vs Simba SC, Washindwa kutambiana. 28 Oktoba 2017

Timu ndio zinaingia/zinarejea Uwanjani Hapa baada ya Mapumziko...Wanamalizia Dakika 45 za mwisho...dakika za 'lala salama' dakika za 'lala kwa buriani'

Yanga 0-0 Simba
 
Dakika ya 46 Ajibu anacheza faulu kwa mchezaji wa Simba
 
Dakika ya 47 Laudit Mavugo anaingia golini kwa yanga lakini anapaishaaaaaaaa
 
Dakika ya 49 Niyonzima anawekwa chini na Juma Abdul... Niyonzima alifanya kumruka Juma Abdul hivyo akaanguka..

Niyonzima anatolewa nje kugangwa kidogo wakati huo ni faulu kuelekea Yanga anapiga Okwi na mpira unaokolewa
 
Erasto Nyoni anapiga mpira mreeeeefu unatoka nje inakuwa goal kick...
 
Nyoni anapiga faulu pale inamkuta Mavugo..unamzidi unatoka nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…