mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Mwache Mbumbumbu huyo usimstue .. si anadhani Kibu denis ni Chama[emoji1787]Mwaka.Jana walitangulia wakiwa na Sarpong & Fiston Abdulazak.
Huku ukiwa na Chama & Miqquesone
Mwaka huu wanatangulia wakiwa na Aucho & Mayele & Juma & Diarra
Huku wewe ukiwakosa Chama & Miqquesone.
Nadhani umesoma alama za nyakati.
Yanga hawajiamini wala hawatakaa wajiamini!! Simba kapiga lesi tu makelele yake yamevuma nchi nzima!! Ni suala la muda tu, itajulikana ni kwa nini walibatizwa jina la uto..........Mwaka.Jana walitangulia wakiwa na Sarpong & Fiston Abdulazak.
Huku ukiwa na Chama & Miqquesone
Mwaka huu wanatangulia wakiwa na Aucho & Mayele & Juma & Diarra
Huku wewe ukiwakosa Chama & Miqquesone.
Nadhani umesoma alama za nyakati.
Yanga hawajiamjni wala hawatakaa wajiamini!! Simba kapiga lesi tu makelele yake yamevuma nchi nzima!! Ni suala la muda tu, itajulikana ni kwa nini walibatizwa jina la uto..........
π€£π€£π€£π€£π€£amuache aendelee kubetMwache Mbumbumbu huyo usimstue .. si anadhani Kibu denis ni Chama[emoji1787]
Wewe tangulia tu na baiskeli yako ya miti, kitakachokupata ni kile kile kile kilichokupata mwaka jana!!ππππππ
Eti hawajiamini.
Simba isiyo na Chama & Miqquisone ndio ije kuwa tishio mbele ya Yanga SC mpya?
Mmechanganyikiwa sana aisee!
Na matokeo yenu ya kuokota okota hayo....
Makolo banaaa, mmemfunga Namungo kwa mbinde dk ya mwisho mnakuja hapa kupiga kelele!! Unamjua Mayele wewe?? Embu kamuulize bwana Manula akuambieee!! Kolo weeeHata mwaka jana walitangulia na baiskeli ya mbao na hawakufika popote!! Wakisikia gari kubwa huko nyuma linapiga lesi kiwewe tayari!!! Hiyo mliyosikia kilichompata Namungo ni lesi tu!!! Gari kubwa karibu lishaanza kuchanganya, na hakuna namna ni suala la muda tu baiskeli ya miti lazima ipishe!!! Uzoefu wa kulipisha gari kubwa wanao, maana wamefanya hivyo kwa miaka minne iliyopita!! Nawasilisha!!
Wacha kukaririMwaka jana walitangulia wakiwa na Sarpong & Fiston Abdulazak.
Huku ukiwa na Chama & Miqquesone
Mwaka huu wanatangulia wakiwa na Aucho & Mayele & Juma & Diarra
Huku wewe ukiwakosa Chama & Miqquesone.
Nadhani umesoma alama za nyakati.
Mayele ana goli ngapi na kagere ana ngapi, na kila mmoja kacheza dakika ngapi?Makolo banaaa, mmemfunga Namungo kwa mbinde dk ya mwisho mnakuja hapa kupiga kelele!! Unamjua Mayele wewe?? Embu kamuulize bwana Manula akuambieee!! Kolo weee
Mayele ndo nani? Tuliona watu walipokewa kwa kubebwa kwenye machela kama mfalme!! Lakini walitoka kwa aibu bila kusindikizwa hata na sisimizi!! Mayele atayeleka punde!!!!Makolo banaaa, mmemfunga Namungo kwa mbinde dk ya mwisho mnakuja hapa kupiga kelele!! Unamjua Mayele wewe?? Embu kamuulize bwana Manula akuambieee!! Kolo weee
Mayele anajumla ya magoli matatu katika mechi za kimashindano. Ila kama unazungumzia kwenye ligi kuu basi Mayele ana magoli mawili sawa sawa na Kagere. Kuhusu kigezo cha kucheza dakika nyingi kuliko Kagere ni kwamba hilo linatokana na Kagere mwenyewe kutoaminika kwenye kikosi cha Simba. Kama ni mchezaji hatari kufania nyavu basi mpangeni kwenye kikosi cha kwanza atupiege magoliMayele ana goli ngapi na kagere ana ngapi, na kila mmoja kacheza dakika ngapi?
Muulize manula anamjua mayele ni nani??alimuoa mchana kweupee!!ile style ya kudonoa hatari sanaa!!makolo wanalala mwanuuuuuu wakiiona!!makolo hamna timu msimu huu nawaambia!!uharo mtupuuuMayele ndo nani? Tuliona watu walipokewa kwa kubebwa kwenye machela kama mfalme!! Lakini walitoka kwa aibu bila kusindikizwa hata na sisimizi!! Mayele atayeleka punde!!!!