Ligi Kuu tar 18/04/ 2015: Mbeya City vs Simba

Jamani hii thread ni ya simba ukitaka kucomment kuhusu yanga kuna thread yake, hebu tuambizane yaliyojili mbeya
 
MCC vipi ongezeni goli la pili bana ili mnifutd machozi ya kutoka sare na waarabu.
 
Kwani hii mbeya city si ndo ile iliyoshushiwa kipigo kizito na vijana wa jangwani ama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…