Ligi Kuu tar 18/04/ 2015: Mbeya City vs Simba

Tugange tu yajao.. Huu mwaka umetukalia vibaya (... yaani ni kama ilivyo kwa Man City vile..)
 
Mkuu watapanda kwenda KOMBE LA MAPINDUZI
Kupanda ndege na kuishia raundi ya kwanza ni hasara tu. Timu zinaanza kufaidi ruzuku ya CAF zinapofika robo fainali. Simba ijipange, mwaka 2017 icheze robo fainali za CAF. Hawa wengine naona wanachofurahia ni kupanda ndege!
 
Kupanda ndege na kuishia raundi ya kwanza ni hasara tu. Timu zinaanza kufaidi ruzuku ya CAF zinapofika robo fainali. Simba ijipange, mwaka 2017 icheze robo fainali za CAF. Hawa wengine naona wanachofurahia ni kupanda ndege!

Sasa mkuu litawezeka vp la mikia kama mnaishia nafasi ya 4? Ni lazima ushinde ndani ndo ucheze CAF mkuu
 
Simba pamoja na kuroga leo Sokoine lakini wamechezea goli 2...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…