Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungeweka ratiba ya mechi weekend hiiMatokeo ya katikati ya Juma hili kwa Ligi Kuu yalikuwa na sura mbili. Ya huzuni na ya Furaha. Kuna waliocheka na kuna walionuna pia.
Mwisho wa Juma hili tunaendelea kupata Uhondo mwingine kwa Mechi chache za Jumamos na Nyingine za Jumapili.
Mkuu.. Unatakiwa ufahamu kua hawa jamaa, ni wapinzani wenu wakuu katika kugombania nafasi ya 2.. japo tuliwagagadua ipasavyo.. Imani yangu kwa hawa jamaa bado haijapotea.. Naamini mwisho wa msimu watamaliza nafasi ya pili.. Nawatakia Kila la heri.Stand utd atatoka droo au kupoteza kabisa dhidi ya ndanda
Mkuu niweke sawa kwanza.Mimi ni stand pure kabisa ata ukifatilia vizuri comments zangu unaweza ngamua hivyo.Niliposema kua kesho stand anaweza akadroo au kufungwa japokua nichama langu nimeangalia effect yakucheza mechi mfululizo nakusafiri umbali mrefu.ukiangalia jumapili wamecheza pwani,jumatano shy na kesho mtwara. Timu haijapata muda wakupumzika hata kidogoMkuu.. Unatakiwa ufahamu kua hawa jamaa, ni wapinzani wenu wakuu katika kugombania nafasi ya 2.. japo tuliwagagadua ipasavyo.. Imani yangu kwa hawa jamaa bado haijapotea.. Naamini mwisho wa msimu watamaliza nafasi ya pili.. Nawatakia Kila la heri.
Simba kama msimu uliopita.. Pumzi imekwisha..Miye nimeota Yanga kaacha point zote pale pale Uwanja wa Marehemu Sokoine,,
Wamefungwa na kufa kiume .
Muota ndoto fake, endelea kuota huku wenzako wakicheza mpira uwanjani.Miye nimeota Yanga kaacha point zote pale pale Uwanja wa Marehemu Sokoine,,
Wamefungwa na kufa kiume .
Pole mkuuChama langu AZAM kesho kuendeleza kampeni ya kuchukua point 12 kanda ya ziwa. kila la heri
Ndoto za mchana huwa zinakuwa kinyumeMiye nimeota Yanga kaacha point zote pale pale Uwanja wa Marehemu Sokoine,,
Wamefungwa na kufa kiume .