BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
14:00 Ihefu FC vs Polisi Tanzania
16:00 Mbeya City vs Kagera Sugar
19:00 Yanga SC vs Singida Big Stars
✍ BIG MATCH: Wakulima wa Alizeti, Singida Big Stars watakuwa wageni wa Mabingwa watetezi Yanga SC katika dimba la Benjamin Mkapa majira ya saa 1:00 jioni.
✍ Baada ya vipigo vitatu mfululizo dhidi ya vigogo Simba SC, Azam FC na Singida Big Stars, Klabu ya Ihefu FC itakuwa na kibarua dhidi ya Polisi Tanzania katika dimba la Highland Estate.
✍ Wanankurukumbi, Kagera Sugar watakuwa wageni wa Mbeya City katika dimba la Sokoine, Mbeya.
🤔 Wananchi watatoboa mbele ya Wabrazil wa Singida?
16:00 Mbeya City vs Kagera Sugar
19:00 Yanga SC vs Singida Big Stars
✍ BIG MATCH: Wakulima wa Alizeti, Singida Big Stars watakuwa wageni wa Mabingwa watetezi Yanga SC katika dimba la Benjamin Mkapa majira ya saa 1:00 jioni.
✍ Baada ya vipigo vitatu mfululizo dhidi ya vigogo Simba SC, Azam FC na Singida Big Stars, Klabu ya Ihefu FC itakuwa na kibarua dhidi ya Polisi Tanzania katika dimba la Highland Estate.
✍ Wanankurukumbi, Kagera Sugar watakuwa wageni wa Mbeya City katika dimba la Sokoine, Mbeya.
🤔 Wananchi watatoboa mbele ya Wabrazil wa Singida?