Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Yetu macho .Man city hakuna wa kumzuia
Hata makalio pia ni yenuYetu macho .
Hongera sana mkuu .Hata makalio pia ni yenu
Anaweza kupita bila kutolewa bikra hadi msimu ujao kama ilivokuwa kwa Arsenal ileeeeeMan city kwa kweli katunyoosha kama rula mwaka huu,
Kama January atapita na bikra yake haijaguswa itabidi tuwaombe FA iruhusu itengenezwe timu moja yenye wachezaji bora kabisa halafu icheze na man city.