Calyx24
JF-Expert Member
- Jan 13, 2018
- 213
- 292
Wakuu kwakweli nimevutiwa kwa kiasi kikubwa na hamasa ya watanzania katika ligi kuu ya tanzania yani kwa kipindi hiki watu wamekuwa wakiangalia hata mechi za kawaida katika ligi ambazo hazina ushawishi kwa kiasi kikubwa kama inavyo julikana
Naweza kusema kuwa ligi ya tanzania ndio ligi inayoongoza kufatliwa na watu wengi yaani katika kuangalia mechi kwenye runinga ukiachilia mbali suala zima la kubeti tofauti na hapo awali ambapo ni mara nyingi ligi ya uingereza ndio ilikuwa ikiteka hisia kwa kiasi kikubwa sana kwa mashabiki wengi
Juzi nilipita kwenye ukumbi fulani ikanibidi niulize watu kuwa hapa mbona watu wamejaa sana walinambia kuwa watu wanaangalia mechi ya Simba na coastal union hakika nilishangaa sana kwa umati ule
Nawapongeza watanzania kwa kuendelea kuthamini vitu vyao vya ndani kwa kiasi kikubwa
NAWASILISHA
Naweza kusema kuwa ligi ya tanzania ndio ligi inayoongoza kufatliwa na watu wengi yaani katika kuangalia mechi kwenye runinga ukiachilia mbali suala zima la kubeti tofauti na hapo awali ambapo ni mara nyingi ligi ya uingereza ndio ilikuwa ikiteka hisia kwa kiasi kikubwa sana kwa mashabiki wengi
Juzi nilipita kwenye ukumbi fulani ikanibidi niulize watu kuwa hapa mbona watu wamejaa sana walinambia kuwa watu wanaangalia mechi ya Simba na coastal union hakika nilishangaa sana kwa umati ule
Nawapongeza watanzania kwa kuendelea kuthamini vitu vyao vya ndani kwa kiasi kikubwa
NAWASILISHA