Kibishi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 1,139
- 1,031
Watu wazima na akili zao mishipa ya shingo inawatoka kwa kushabikia mpira wa Tanzania wa butua butua,
Mpira unaopambwa na vyombo vya habari ili watu wanunue.Supastaa mtanzania akienda timu kubwa anaishia kujaribiwa na kutemwa.Anayesema ni mzalendo katika mpira wa Tanzania ni mnafiki,kwa sababu mpira wa Tanzania hauvutii.
Siupendi kabisa mpira wa Tanzania,mpira huu ni sawa sawa na mpira wa mchangani wa nchi za mbali.Ili mpira wetu uendelee wachezaji walipwe mshahara mkubwa.
Akilipwa pesa nyingi atacheza kwa ufundi wa hali ya juu.
Mpira unaopambwa na vyombo vya habari ili watu wanunue.Supastaa mtanzania akienda timu kubwa anaishia kujaribiwa na kutemwa.Anayesema ni mzalendo katika mpira wa Tanzania ni mnafiki,kwa sababu mpira wa Tanzania hauvutii.
Siupendi kabisa mpira wa Tanzania,mpira huu ni sawa sawa na mpira wa mchangani wa nchi za mbali.Ili mpira wetu uendelee wachezaji walipwe mshahara mkubwa.
Akilipwa pesa nyingi atacheza kwa ufundi wa hali ya juu.