Habari Taarifa ambayo Ni Rasmi Mh.Waziri Mwenye Dhamana Ya Michezo Mh.Harrison Mwakyembe Ametangaza kuwa
Mfumo wa Uchezaji wa Ligi katika Mpira wa Miguu ni kuwa
Ligi kuu itachezwa katika Mkoa mmoja ambao ni Dar es Salaam hivyo timu zote zitacheza mkoani Dar.
Huku Ligi daraja LA kwanza na ligi Daraja LA Pili kituo kitakuwa ni Mwanza hivyo Timu zote za Zitatakiwa kwenda Mwanza.
Michezo yote Itachezwa bila Mashabiki ila kikundi cha Mashabiki wasio zidi 20 wanaru
Mfumo wa Uchezaji wa Ligi katika Mpira wa Miguu ni kuwa
Ligi kuu itachezwa katika Mkoa mmoja ambao ni Dar es Salaam hivyo timu zote zitacheza mkoani Dar.
Huku Ligi daraja LA kwanza na ligi Daraja LA Pili kituo kitakuwa ni Mwanza hivyo Timu zote za Zitatakiwa kwenda Mwanza.
Michezo yote Itachezwa bila Mashabiki ila kikundi cha Mashabiki wasio zidi 20 wanaru